NSSF mafao 33%

NYAQ

Member
Joined
Feb 23, 2016
Posts
93
Reaction score
275
Asee hii ni kimeo sana wadau, watu tutaishije wakat tulitegemea kupata mitaji kutoka kwenye mafao yetu !!!.

Mtu nimekaa miezi 18 bila ajira, nimeenda kufungua madai wakalipa 33% then nisubiri tena 18 month ndo niombe kulipwa yote.


Daa NSSF mlaaniwe muwe na maisha magumu sana na mteseke
 
Hebu elezea vizuri upate msaada mbona hyo sheria haipo kama ulivyoiandika hapo ya 33%
 
Vipi Kama ulikuwa private sector baadae ukaenda selikalini mafao yakoje mkuu
Serikali mfuko tofauti na nssf unatakiwa ukachukue hela zako zote nssf ule maisha ukipata kazi serikalini
 
Hebu elezea vizuri upate msaada mbona hyo sheria haipo kama ulivyoiandika hapo ya 33%
Ipo mkuu,ukiachishwa kazi kama wewe ni professional unakaa miezi sita then watakupa asilimia 33% ya mshahara uliyokuwa unapata kipindi unafanya kazi kila mwezi,fedha hizo utapewa kwa kipindi cha miezi sita mfululizo,baada ya hapo usubiri tena miezi 18 kama bado hujapata kazi watamalizia kukupa fedha iliyobaki kwa mkupuo mmoja.
Mfano.ulikuwa unafanya kazi kwa mshahara wa Tsh 100,000 then Utapewa shilingi elfu 33,000 kila mwezi kwa kipindi cha miezi sita mfululizo.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…