hawakulijua hilo; na kama ni makosa Ardhi ni mali ya NSSF ; kwa nini wa declare loss ili wauze nyumba nyingi za ghorof a; Baada ya muda mrefu ku cap hizo hela waendelee na ujenzi ;Unategemeana na soko walilolilenga.. Na tukumbuke pia kuna ufisadi mkubwa ulifanyika kwenye ununuzi wa viwanja walipojenga hzo nyumba.. Kwahyo bei kubwa za hzo nyumba imechangiwa na bei kubwa za viwanja plus ufisadi.
Sio deci ni CCMsio hoja ya kuuza bei juu; suala ni kusaidia wanachama; mbona hakuna bei kwa ajili ya wanachama. hii ni desi
Kweli mkuu watu walipiga haswaKiwanja tu cha nusu heka kilinunuliwa kwa zaidi ya million mia