NSSF iombe kujenga na kuendesha BRT phase 3

NSSF iombe kujenga na kuendesha BRT phase 3

Hii awamu ya kwanza barabara ni mali ya serikali, hivyo serikali inauwezo wa kukupangia bei, ila barabara inapokuwa mali yako unapanga nauli utakayo
Mtalalamika nyie we unazani kwanini kuna taasisi za kupanga bei za huduma? Kipindi kile tu kwenye daladala ilikuwa ikiongezwa Sh 100 watu wanatokwa mapovu ndo ije iongezwe Tsh 1000-1500 si mtashindwa kupanda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu mfuko wa nssf nadhani ni mali ya wachangiaji ambao ni wafanyakazi na wastaafu watarajiwa. Inashangaza hao walengwa walichangia wanaga sauti na mfuko huu. Swali la kujiuliza hii miradi iliyojengwa kila mahali kuna hata mlegwa akiulizwa atoe maoni yake au ridhaa yake . Wanapofanya hivyo hao wasimamizi kweli hawavuji sheria?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu mfuko wa nssf nadhani ni mali ya wachangiaji ambao ni wafanyakazi na wastaafu watarajiwa. Inashangaza hao walengwa walichangia wanaga sauti na mfuko huu. Swali la kujiuliza hii miradi iliyojengwa kila mahali kuna hata mlegwa akiulizwa atoe maoni yake au ridhaa yake . Wanapofanya hivyo hao wasimamizi kweli hawavuji sheria?

Sent using Jamii Forums mobile app
Uulizwe nini, cha msingi tu ni unapostaafu upatiwe mafao yako bila usumbufu, basi!
 
Mtalalamika nyie we unazani kwanini kuna taasisi za kupanga bei za huduma? Kipindi kile tu kwenye daladala ilikuwa ikiongezwa Sh 100 watu wanatokwa mapovu ndo ije iongezwe Tsh 1000-1500 si mtashindwa kupanda

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama wenye daladala wanaokumbana na vikwazo kibao vya ushindani wa kibiashara na mabao ya matrafiki wana chaji nauli 400 - 600 na wanapata faida, sioni ni vipi wao washindwe kutengeneza faida
 
Mtalalamika nyie we unazani kwanini kuna taasisi za kupanga bei za huduma? Kipindi kile tu kwenye daladala ilikuwa ikiongezwa Sh 100 watu wanatokwa mapovu ndo ije iongezwe Tsh 1000-1500 si mtashindwa kupanda

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama wenye daladala wanaokumbana na vikwazo kibao vya foleni, ushindani wa kibiashara na mabao ya matrafiki wana chaji nauli 400 - 600 na wanapata faida, sioni ni vipi wao washindwe kutengeneza faida
 
Kama wenye daladala wanaokumbana na vikwazo kibao vya foleni, ushindani wa kibiashara na mabao ya matrafiki wana chaji nauli 400 - 600 na wanapata faida, sioni ni vipi wao washindwe kutengeneza faida
BRT haiendeshwi kama daladala. Daladala inaweza kusubiri kila kituo dakika 10-20 ijae,daladala inakatisha ruti etc. Huwezi kufanya hivyo na BRT
 
Back
Top Bottom