NSSF iombe kujenga na kuendesha BRT phase 3

NSSF iombe kujenga na kuendesha BRT phase 3

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
40,530
Reaction score
46,614
Wajenge kisha wapewe hati miliki ya kuwa waendeshaji pekee wa BRT phase 3, pesa yao itarudi haraka na kwa uhakika, na faida juu.
 
Si ajabu bajet ikawa bil 700 sasa piga hesabu hiyo hela itarudi baada ya miaka mingapi??
Hapo bado wafanyakazi wanasfaafunkila. Mwaka na wanatakiwa kupewa hela yao!
Na hujapigia hesabu denimlililopo serekalini ambalo.ni mzigo uongeze tena mzigo mwingine
 
Wajenge kisha wapewe hati miliki ya kuwa waendeshaji pekee wa BRT phase 3, pesa yao itarudi haraka na kwa uhakika, na faida juu.
Kwanini? Sasa hivi Phase 2 inajengwa kwa mkopo wa AfDB, kwanini unafikiri ni vizuri kutumia mafao ya watu?
 
Kwanini? Sasa hivi Phase 2 inajengwa kwa mkopo wa AfDB, kwanini unafikiri ni vizuri kutumia mafao ya watu?
Nafahamu kwamba phase 2 inajengwa na AfDB, lakinj huo mradi ni biashara ya ukiritimba, na siku zote biashara za ukiritimba zinalipa sana na ni za uhakika, maana hazina mpinzani, maana yake ni kwamba unanyang'anya biashara za madaladala 50,000/= na zote unareplace na mabasi yako, wateja ni wa uhakika, watake watapanda, wasitake watapanda maana hiyo route inakuwa ni yako tu!
 
Nafahamu kwamba phase 2 inajengwa na AfDB, lakinj huo mradi ni biashara ya ukiritimba, na siku zote biashara za ukiritimba zinalipa sana na ni za uhakika, maana hazina mpinzani, maana yake ni kwamba unanyang'anya biashara za madaladala 50,000/= na zote unareplace na mabasi yako, wateja ni wa uhakika, watake watapanda, wasitake watapanda maana hiyo route inakuwa ni yako tu!
Basi sema waombe kuendesha. Usisashau kuendesha watahitaji kampuni kamili kufanya hio kazi.
 
Basi sema waombe kuendesha. Usisashau kuendesha watahitaji kampuni kamili kufanya hio kazi.
Mbona hawakuomba kuendesha Kigamboni bridge, badala yake wameomba kujenga na kuendesha
 
Mbona hawakuomba kuendesha Kigamboni bridge, badala yake wameomba kujenga na kuendesha
Unafananisha Kigamboni bridge na fleet ya Mabasi 200-300? Logistics za mabasi ni Sawa na kukusanya hela kwenye kivuko? Fyi wale wafanya wengi wa Darajani ni wafanya wa zamani wa NSSF. Sasa mabasi 300 inabidi uajiri madereva 300, bado karakana ya kuhudumia hayo mabasi na vurugu kibao. Usichukulie mambo kirahisi wewe.
 
Unafananisha Kigamboni bridge na fleet ya Mabasi 200-300? Logistics za mabasi ni Sawa na kukusanya hela kwenye kivuko? Fyi wale wafanya wengi wa Darajani ni wafanya wa zamani wa NSSF. Sasa mabasi 300 inabidi uajiri madereva 300, bado karakana ya kuhudumia hayo mabasi na vurugu kibao. Usichukulie mambo kirahisi wewe.
No problem, wajenge kisha waikodishe kwa kampuni ya mabasi na wawe wanachukua kodi ya pango.
 
Kama ni hasara mbona watu wanapigana vikumbo kuagiza mabasi ya mikoani na daladala?
Angalia kila kukicha yanakuja makampuni mapya na yale ambayo hayakostable yanakufa, hafu jiulize kwanini wale matajiri wa muda mrefu wa mabasi wako associated na uuzaji mafuta? Jiulize tena Je Mengi, Mo na wengine fursa za biashara za mabasi hawazioni?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalia kila kukicha yanakuja makampuni mapya na yale ambayo hayakostable yanakufa, hafu jiulize kwanini wale matajiri wa muda mrefu wa mabasi wako associated na uuzaji mafuta? Jiulize tena Je Mengi, Mo na wengine fursa za biashara za mabasi hawazioni?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wanakuwa na ushindani mkali sana wa kibiashara katika usafirishaji wa abiria hasa mikoani, ila BRT ni biashara ya ukiritimba na huna mshindani, uko peke yako, unashindwaje?
 
Hao wanakuwa na ushindani mkali sana wa kibiashara katika usafirishaji wa abiria hasa mikoani, ila BRT ni biashara ya ukiritimba na huna mshindani, uko peke yako, unashindwaje?
Hiyo nauli tu unayolipa Kimara Ferry/Morroco/Gerezani haitoshi mpango wa mwanzo ulikuwa lazima ulipe 2400Tsh kwa trip ndo maana kulikuwepo na delay ya kuanza hadi JPM alipoingilia kati, serikali nadhani iliahidi kuweka subsidies ya kiasi fulani. Angalia Je katika miaka 3 ya operation kwann mabasi yamepungua na hata huduma zimekuwa za hovyo, means operation cost ni kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo nauli tu unayolipa Kimara Ferry/Morroco/Gerezani haitoshi mpango wa mwanzo ulikuwa lazima ulipe 2400Tsh kwa trip ndo maana kulikuwepo na delay ya kuanza hadi JPM alipoingilia kati, serikali nadhani iliahidi kuweka subsidies ya kiasi fulani. Angalia Je katika miaka 3 ya operation kwann mabasi yamepungua na hata huduma zimekuwa za hovyo, means operation cost ni kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii awamu ya kwanza barabara ni mali ya serikali, hivyo serikali inauwezo wa kukupangia bei, ila barabara inapokuwa mali yako unapanga nauli utakayo
 
Back
Top Bottom