NOWhatsapp ni zaidi ya GBwhatsapp

NOWhatsapp ni zaidi ya GBwhatsapp

Ni vizuri mngekuwa mnaweka na link za whatsapp mnazo taja kama alivyofanya mtoa mada.
Huwa hatupendi maneno mengi kama wanasiasa huku kwenye jukwaa la Tech...
Mrejesho wangu Nowhatsapp ipo vizuri zaidi kuliko. Yowhatsapp wameiwekea madoido mengi ambayo hayana msingi.
 
nimeijaribu ila naona bado inaachwa mbali sana na GB whatsapp kwanza haina option ya kubadili themes huwezi kuhide contacts zako na pia haina chochote cha ziada ambacho developers wa Gb hawana hii NOwhatsapp kwangu ni NO
 
http????? Kwani isiwe https? Toa wazimu hapa

Post sent using JamiiForums mobile app
 
ukitaka uipate namba ya mtanzania anayejifanya anonymous kwenye mitandao ya kijamii mtengenezee clone ya whatsapp utampata fasta!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! haya tcra mbinu mpya hiyo nimewapa jinsi ya kutudaka.
 
ukitaka uipate namba ya mtanzania anayejifanya anonymous kwenye mitandao ya kijamii mtengenezee clone ya whatsapp utampata fasta!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! haya tcra mbinu mpya hiyo nimewapa jinsi ya kutudaka.
how?how about vpn?
 
nimeijaribu ila naona bado inaachwa mbali sana na GB whatsapp kwanza haina option ya kubadili themes huwezi kuhide contacts zako na pia haina chochote cha ziada ambacho developers wa Gb hawana hii NOwhatsapp kwangu ni NO
Mkuu shida ya gb whatsapp ni kuchelewesha text unakuta muda mwingine hadi ufungue hiyo app ndio text zina miminika wakati zinakuwa zimetumwa muda mrefu mno.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mkuu shida ya gb whatsapp ni kuchelewesha text unakuta muda mwingine hadi ufungue hiyo app ndio text zina miminika wakati zinakuwa zimetumwa muda mrefu mno.

Post sent using JamiiForums mobile app
yah ilo ndo tatizo kubwa ukitaka kujua iwepo official whatsapp
 
Gbwhatsapp kwangu ni best bado sijapata tatizo lolote nayo na ina features kibao
 
Yowhatsapp is the best WhatsApp Mode ever. Kituu ni muruaaaaaa kinatelezaaa tuu na hakiko complicated

Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
Naomba link mkuu
 
ukitaka uipate namba ya mtanzania anayejifanya anonymous kwenye mitandao ya kijamii mtengenezee clone ya whatsapp utampata fasta!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! haya tcra mbinu mpya hiyo nimewapa jinsi ya kutudaka.
HOW?!
 
Mkuu shida ya gb whatsapp ni kuchelewesha text unakuta muda mwingine hadi ufungue hiyo app ndio text zina miminika wakati zinakuwa zimetumwa muda mrefu mno.

Post sent using JamiiForums mobile app
hio shida ya text labda ni kwa baadhi ya simu binafsi sijawahi kukutana nayo nimejarbu YOWhatsapp kidogo naona na yenyewe ni nzur
 
hio shida ya text labda ni kwa baadhi ya simu binafsi sijawahi kukutana nayo nimejarbu YOWhatsapp kidogo naona na yenyewe ni nzur
Yowhatsapp ni best...gb inashida kweny contact baadh ya majina tena meng tu unakua huyaon

So far Yowhatsapp ni kiboko

Sent from my SM-G906K using Tapatalk
 
Back
Top Bottom