Now i believe: We differ

ladyfurahia

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
14,758
Reaction score
9,589
Hay mabestito wangu wa ukweliiiiiiiiiiii

Ugweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kajisemea lara 1


Uhiari ni jambo la msingi tena ni kitu adimu ambacho
huwezi kupata sehemu yoyote ile hata kama utakaangwa
saana na kutobolewa hata macho huweizi pata hiari.
Je marafiki zangu ninyi mmewahi kuona?



:A S kiss:Waswahili wanasema kuwa: "HIARI YASHINDA UTUMWA"

Katika maisha binadamu twajifunza mambo mengi na hasa
twajifunza kuishi na kila aina ya watu, wako ambao ni wapole
na hawana matatizo na watu lakini ukiwaangalia kwa utu wao
wa ndani ni majinamizi na machui ya kutupa, wako wengine
ni waungwana na wastaarabu na hawapendi kuwauizi wenzao
Wako watu manyang'au wapendao kugombana na kila mtu ilimradi
tu wao kwao wanaona sifa sana kuwachokoa wengine na
wanabaki kucheka kwa kebehi huku wakiwachora na kujiona kuwa
wamewaweza na kumbe nafisini wanajidanganya.

Sasa naamini kuwa WE DIFFER kwanije kumsarandia nduguyo
hivyo kwanije kuona FAHARI juu ya jambo ovu umfanyialo
Hata Mungu wa mbinguni hapendi hivyo anapenda kuona
TWAPENDANA so usiwe chokoraa kwa mwenzako


Sio busara hata kidogo wala uungwana kidogo kuona mwenzio
anakuwa mtu wa stress nyingi na pain za kila aina huku wewe
ukujigamba kuwa umempata. Wanadamu tunaishi kwa masaidiano
na kupendana ndo maisha yalivyo kwa kila mtu. Wewe unafurahi
mwenzio hakikosa na akiparaganyika moyo? Hayo sio maisha
mema umtakiao mwenzako. Ni busara sana kuwa peace & love
na sio kuwa watu wa kisomaria somaria. Mpendwa muone
mwenzako ni bora na mwema kwako na UMPENDE kama alivyo.



Wasalaamu:

Ladyf


cc: Mtambuzi, Bujibuji, Madame B, madame A, Chocs, amu, Heaven on earth, Nicas Mtei, Arushaone, Erickb52, Mr Rocky, Kipaji Halisi, Jiwe Linaloishi, Passion Lady, Lady doctor, Ladywise, FirstLady, babamkubwa kubwa lao watu8, mathematics, MKALIwakitaa, Chimbuvu, my cousin wa ulweli charminglady, Lady Unbreakable, grafani 11, chocco, Kizito Kabwela, Pasco, Bishanga, sosoliso, Paloma, Mwita Maranya, Bagga, figganigga, Liverpool, Filipo, Preta, @Fp, na marafiki zangu niliowasahau mjengoni humu mnisamehe twangeni yenu yaliyo moyoni

N.B: Mamods naomba msimuvuzishe/kuclose ovyoovyo
hii threads jaamani mbona mwanitakiani? nimesema
:A S kiss::A S kiss:
 
Last edited by a moderator:
My wii ni kweli usemayo
Ila siku hizi watu wanaishi kisanii sana..yaani kinafki mtu anakupa tabasamu la plastik kumbe roho yake ptuuu nyeusii tii


"mpende jirani yako kama nafsi yako" siku hizi hakuna tena tunasemea tu kwenye nyumba za ibada...


Mungu na atusaidie tuishi kwa upendo tena wa agape..Amen
 
Dada yangu ladyfurahia nakupa pongezi kwa kuwa hodari sana wa kupangilia mistari yenye udhui mzuri.
Ni kweli kabisa tunapaswa kuishi kwa amani na upendo sio kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa,
Walio wengi siku hizi hujivisha ngozi ya kondoo,TUPENDANE JAMANI
 
Last edited by a moderator:
Nikuuzie signature yangu bas!!!!!!

 
Last edited by a moderator:
umeongea ukweli wifi yangu yaani upendo wa wengi siku hizi umepoa na hakuna anayemjali mwenzake ni unafiki tu ndo mana habakuk alisema kuwa anayahesabu mambo kuwa ni batili na vilevile mtume paulo katika vitabu vyake alisema kuwa anahesabu mambo yote kuwa sikitu kwake bali anakaza mwendo ili apate thawabu na kuuifikia mede ya mwito mkuu wa Mungu na ana
 
Afu bidada nimekupenda bureeee!
Tubadilishane signature bas!!!!!

 
Last edited by a moderator:
Nashukuru kwa kunipenda nami nakupenda pia nitafurahi
sana ukiwa mmojawapo wa marafiki zangu wa ukweli karibu home
 
Asante kwa kunipenda mwaya "sasa utabadilishana signature na wangapi?"maana ushatoa offer ya kumuuzia yako ladyfurahia....

....
Usiwe na wasi!!
Yule haitaki signature yangu, thus why kaquote asipoqotiwa!
Hahahahahahahaaaa!
Afu kuna jamaa mwengine naipenda sana signature yake, nimeisahau! Sjui inasema 'mashairi ya malenga... Kama finyefinye... Ziba mku.ndu usinye' aaagh imenipotea, kama vipi ukiiona sehemu asisite kunistua!
NB: Hiyo signature ni yakuchekesha tu, haina ujumbe wowote!!!!!
 
ladyfurahia ili dunia ipendeze ni lazima kuwe na hali tofauti, tukiwa wote wapole mambo hayatanoga, tukipendana wote kwa dhati hakutakuwa na changamoto. kumbuka hata Mungu aliamua kuufanya moyo wa farao kuwa mgumu ili tu kunogesha mambo kwa kupata changamoto. Binafsi naamini haya mambo yapo ili dunia iwe na changamoto.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…