Kwa kweli kutokana na kuzunguka dunia na kujikuta sehemu mbalimbali ambapo hata unapoenda kununua kitu na kutumia fedha taslimu, unajikuta noti uliotoa kumpa muuza duka au cashier, lazima kwanza aichunguze kwa aidha kuweka kuiweka kwenye machine ya kutambua noti ni halali au kuwa na kalamu ya kuchora kwenye noti ambayo kama bandia wino utatokea lakini kama halali hautotekea na wala haionyeshi kama imechora...
Huu utaratibu ulinikwaza sana wakati nikiwa mgeni kwenye haya mataifa, na kudhani kwa kuwa mimi ni mmatumbi mweusi, kwa hiyo hiki kitendo kinafanywa tu kwa sababu hiyo, kwa maana hatuaminiki...
Na hutokea kwa noti kuanzia ya 10, 20, mpaka 50 kwa Ulaya, au kwa wenye noti za 100 kama US....
Lakini kadiri maisha yanavyosonga, pia unajikuta kwenye tukia ambapo mzawa anatoa noti kwa malipo na yeye za kwake zinachunguzwa kama halali au bandia kama yaliyonitokea, ndio nikajua jinsi mifumo yao ilivyo makini kutoweza kupenyeza noti bandia katika mzunguko.
Sasa tuje kwetu, kwa kweli sijawahi hata siku moja maisha yangu yote, kuona mpokea hela iwe dukani, ofisini au mmachinga barabarani, anachunguza pesa zangu kwa kuziamgalia kama ni halali au bandia, kwa maana hiyo basi mzunguko wa pesa nchini umejaa noti bandia za kutosha na inaweza hata kuwa ni robo au nusu ya uchumi wote wa mzunguko wa pesa unahusisha noti bandia....
au mmachinga
Huu utaratibu ulinikwaza sana wakati nikiwa mgeni kwenye haya mataifa, na kudhani kwa kuwa mimi ni mmatumbi mweusi, kwa hiyo hiki kitendo kinafanywa tu kwa sababu hiyo, kwa maana hatuaminiki...
Na hutokea kwa noti kuanzia ya 10, 20, mpaka 50 kwa Ulaya, au kwa wenye noti za 100 kama US....
Lakini kadiri maisha yanavyosonga, pia unajikuta kwenye tukia ambapo mzawa anatoa noti kwa malipo na yeye za kwake zinachunguzwa kama halali au bandia kama yaliyonitokea, ndio nikajua jinsi mifumo yao ilivyo makini kutoweza kupenyeza noti bandia katika mzunguko.
Sasa tuje kwetu, kwa kweli sijawahi hata siku moja maisha yangu yote, kuona mpokea hela iwe dukani, ofisini au mmachinga barabarani, anachunguza pesa zangu kwa kuziamgalia kama ni halali au bandia, kwa maana hiyo basi mzunguko wa pesa nchini umejaa noti bandia za kutosha na inaweza hata kuwa ni robo au nusu ya uchumi wote wa mzunguko wa pesa unahusisha noti bandia....
au mmachinga