North Korea orders workers to start their day at 5 a.m.

North Korea orders workers to start their day at 5 a.m.

Naomba EL akipitishwa na kufanikiwa kuingia magogoni aitumie hii sheria inalipa sana, hapo ndipo ile slogan yake ya utajiri kwa kila raia itafanikiwa.
 
Pwa! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!

Hao watu wanafugwa kama punda.

Maskini wanatia huruma kweli.

Pwa! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!

Nahisi unapotosha.

Ni kwa muda huu wa mwaka ambapo mida ya mchana kunakuwa na ongezeko kubwa la joto.
 
Hii ni condition ambayo ipo kwa most European and Asian countries...! like summer holidays...

Na huko kwingine huwa wanapewa amri ya kuanza kufanya kazi saa 11 au ni jambo la hiari?
 
Needs za nchi plus economic status zinalazimisha watawala kuamua hayo...na si utumwa!

Huo ni mtazamo wako.

Mtazamo wangu ni North Korea wanaishi kama mifugo.

Mambo ya utumwa umeyaleta wewe.

Hakuna sehemu niliyoongelea utumwa mimi.
 
Huo ni mtazamo wako.

Mtazamo wangu ni North Korea wanaishi kama mifugo.

Mambo ya utumwa umeyaleta wewe.

Hakuna sehemu niliyoongelea utumwa mimi.

Hao watu wanafugwa kama punda.

Kuna kitu kinaitwa 'insinuate'...si lazima ulitamke jambo ndo iwe umelimaanisha! Simple language rules bro!
 
Kuna kitu kinaitwa 'insinuate'...si lazima ulitamke jambo ndo iwe umelimaanisha! Simple language rules bro!

No sir, that's just your inference of what I wrote as opposed to what you think I was insinuating.

And for that, you are wrong. Wrong because I didn't insinuate anything. I was very direct with what I said/ wrote.
 
Pwa! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!

Hao watu wanafugwa kama punda.

Maskini wanatia huruma kweli.

Pwa! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!

No sir, that's just your inference of what I wrote as opposed to what you think I was insinuating.

And for that, you are wrong. Wrong because I didn't insinuate anything. I was very direct with what I said/ wrote.

USA baby!... Kha we jamaa ni noumer
 
No sir, that's just your inference of what I wrote as opposed to what you think I was insinuating.

And for that, you are wrong. Wrong because I didn't insinuate anything. I was very direct with what I said/ wrote.

Let's agree to disagree!
 
Naamka saa 11 nikifika kiwandani nalala sifanyi kazi.mambo gani haya ya kutungiana sheria za kipuuzi.hii nchi viongozi wamechanganyikiwa siyo bure
 
kawaida sana hiyo kwa sisi madereva wa daladala,wauza samaki toka feri,wauza nyama na wauza bidhaa za magengeni.kila siku huwa tunaamka saa 10 usiku kufata bidhaa ziliko,wateja wetu au abiria.
 
Back
Top Bottom