North Korea inatumia 'QUANTUM CODE OF COMMUNICATION' wana FIZIKIA na IT dadavueni zaidi.

Chukulia una ngoma fulani kubwa unapoipiga inatoa mlio ama mawimbi fulani ambayo ni wanakijiji wa hapo tu ndio wataelewa maana yake ni nini,
Ipunguze iyo ngoma ukubwa iwe ndogo lakini mlio uwe na maana ileile,
Ipunguze ukubwa tena na tena, na kipigio chake pia itabidi mwishowe kiwe kinapungua,
Sasa ipungue mpaka iwe haionekani kwa macho ila iwe inaonekana kwa hadubini tu,
Endelea kuipunguza ukubwa mpaka hadubini ishindwe kuiona, iwe inaonekana kwa vifaa vingine bora zaidi,
Utakuwa umefikia kwenye mawimbi wanayotumia hawa jamaa, ya atoms na electrons, sasa mlio wa mawimbi hayo wanauelewa wao pekee, kwani ni wao ndio wanaopiga hiyo mawimbiumeme, ila hata wazungu wana ya kwao pia wanapiga kivyao, so na aina ya teknolojia ya juu ulimwenguni kwa sasa,
NB: NIMEONGEA KAWAIDA SANA KUTOA PICHA KWA WOTE HATA WALIOACHA FIZIKIA FOMU 2, ILI WOTE TUPATE PICHA FIKIRA INAYOITWA ASSUMPTION IN PHYSICS,
wacha wataalamu waje watiririke na physics terms hapo.
 
Huyo Kim na wajinga wenzie wanaomjaza kiburi watachapwa kichapo cha mbwa mwizi; hatokaa asikike au aonekane tena forever and ever. Badala ya kuchagua amani yeye kaamua kuchagua shari. Ile showoff ya mavifaa ya kijeshi in public ni ujinga zaidi ya akili. Wenye akili zao hawafanyagi vile. Hata hapa Serikali yapaswa kuacha maonesho ya zana kijeshi maana tunaonekana kituko tu mbele ya jamii. By the way, vijinchi vya kikomunisti/kijamaa huwa vina hulka za aina hiyo sana.
 
Ili tuweze kupata taarifa yoyote kwa kutumia kompyuta basi lazima yafanyike mambo 2.

1.CODING
2.DECODING

Kwa mfano wewe unaimba na ukarekodi sauti na kuingiza kwenye kompyuta, kompyuta inafanya CODING ili kubadilisha sauti hiyo kuja kwenye lugha ambayo kompyuta inaweza kuielewa.lugha ambayo kompyuta huelewa ni lugha ya namba na namba ambazo hutumika ni 0 na 1.
Hivyo basi CODING ni kitendo cha kubadilisha lugha ya kawaida kwenda kwenye lugha ya kompyuta.

DECODING ni kitendo cha kubadilishia lugha ya kompyuta kuja kwenye lugha ya kawaida ambayo mimi na wewe tunaielewa au naweza kusema ni kinyume cha CODING.
Sasa kompyuta nyingi zilizopo hutumia mfuml wa huo wa CODING NA DECODING ili kupokea na kutafsiri taarifa.
Sasa katika kufanya ivyo kompyuta hizo hutumia namba mbili tu ambazo ni 0 na 1 na kila namba moja huwa na maana moja tu.

Katika QUANTUM CODE , kompyuta hufanya CODING NA DECODING kama kawaida tena kwa kutumia namba zile zile 1 na 0 ila utofauti huwa ni kwamba KATIKA MFUMO HUU KILA NAMBA HUBEBA MAANA MBILI KWA MPIGO TOFAUTI NA ULE MFUMO AMBAO KILA NAMBA HUBEBA MAANA MOJA.

Mfano mzuri ni kwenda maktaba na kusoma vitabu vyote kwa wakati mmoja na kwenda maktaba na kusoma vitabu vyote kwa awamu, yani unamaliza kimoja baada ya kingine.

Mfano mwingine ni kama kuwa na uwezo wa kuona pande mbili za shilingi kwa wakati mmoja dhidi ya kuona pande hizo kwa nyakati tofauti.

Hivyo basi mfumo huo wa QUANTUM CODE kwa sasa ndio bora zaidi kuliko mfumo wa zamani kwani huwezesha kompyuta kukusanya data NYINGI kwa wakati mmoja na huwa mgumu kufanyiwa udukuzi.
 
Ili tuweze kupata taarifa yoyote kwa kutumia kompyuta basi lazima yafanyike mambo 2.

1.CODING
2.DECODING

Kwa mfano wewe unaimba na ukarekodi sauti na kuingiza kwenye kompyuta, kompyuta inafanya CODING ili kubadilisha sauti hiyo kuja kwenye lugha ambayo kompyuta inaweza kuielewa.lugha ambayo kompyuta huelewa ni lugha ya namba na namba ambazo hutumika ni 0 na 1.
Hivyo basi CODING ni kitendo cha kubadilisha lugha ya kawaida kwenda kwenye lugha ya kompyuta.

DECODING ni kitendo cha kubadilishia lugha ya kompyuta kuja kwenye lugha ya kawaida ambayo mimi na wewe tunaielewa au naweza kusema ni kinyume cha CODING.
Sasa kompyuta nyingi zilizopo hutumia mfuml wa huo wa CODING NA DECODING ili kupokea na kutafsiri taarifa.
Sasa katika kufanya ivyo kompyuta hizo hutumia namba mbili tu ambazo ni 0 na 1 na kila namba moja huwa na maana moja tu.

Katika QUANTUM CODE , kompyuta hufanya CODING NA DECODING kama kawaida tena kwa kutumia namba zile zile 1 na 0 ila utofauti huwa ni kwamba KATIKA MFUMO HUU KILA NAMBA HUBEBA MAANA MBILI KWA MPIGO TOFAUTI NA ULE MFUMO AMBAO KILA NAMBA HUBEBA MAANA MOJA.

Mfano mzuri ni kwenda maktaba na kusoma vitabu vyote kwa wakati mmoja na kwenda maktaba na kusoma vitabu vyote kwa awamu, yani unamaliza kimoja baada ya kingine.

Mfano mwingine ni kama kuwa na uwezo wa kuona pande mbili za shilingi kwa wakati mmoja dhidi ya kuona pande hizo kwa nyakati tofauti.

Hivyo basi mfumo huo wa QUANTUM CODE kwa sasa ndio bora zaidi kuliko mfumo wa zamani kwani huwezesha kompyuta kukusanya data NYINGI kwa wakati mmoja na huwa mgumu kufanyiwa udukuzi.
Nimerudia kusoma mara tatu ila nimeelewa conclusion tu!
 
Ili tuweze kupata taarifa yoyote kwa kutumia kompyuta basi lazima yafanyike mambo 2.

1.CODING
2.DECODING

Kwa mfano wewe unaimba na ukarekodi sauti na kuingiza kwenye kompyuta, kompyuta inafanya CODING ili kubadilisha sauti hiyo kuja kwenye lugha ambayo kompyuta inaweza kuielewa.lugha ambayo kompyuta huelewa ni lugha ya namba na namba ambazo hutumika ni 0 na 1.
Hivyo basi CODING ni kitendo cha kubadilisha lugha ya kawaida kwenda kwenye lugha ya kompyuta.

DECODING ni kitendo cha kubadilishia lugha ya kompyuta kuja kwenye lugha ya kawaida ambayo mimi na wewe tunaielewa au naweza kusema ni kinyume cha CODING.
Sasa kompyuta nyingi zilizopo hutumia mfuml wa huo wa CODING NA DECODING ili kupokea na kutafsiri taarifa.
Sasa katika kufanya ivyo kompyuta hizo hutumia namba mbili tu ambazo ni 0 na 1 na kila namba moja huwa na maana moja tu.

Katika QUANTUM CODE , kompyuta hufanya CODING NA DECODING kama kawaida tena kwa kutumia namba zile zile 1 na 0 ila utofauti huwa ni kwamba KATIKA MFUMO HUU KILA NAMBA HUBEBA MAANA MBILI KWA MPIGO TOFAUTI NA ULE MFUMO AMBAO KILA NAMBA HUBEBA MAANA MOJA.

Mfano mzuri ni kwenda maktaba na kusoma vitabu vyote kwa wakati mmoja na kwenda maktaba na kusoma vitabu vyote kwa awamu, yani unamaliza kimoja baada ya kingine.

Mfano mwingine ni kama kuwa na uwezo wa kuona pande mbili za shilingi kwa wakati mmoja dhidi ya kuona pande hizo kwa nyakati tofauti.

Hivyo basi mfumo huo wa QUANTUM CODE kwa sasa ndio bora zaidi kuliko mfumo wa zamani kwani huwezesha kompyuta kukusanya data NYINGI kwa wakati mmoja na huwa mgumu kufanyiwa udukuzi.
Mkuu nmekuelewa sana.
 
Huyo Kim na wajinga wenzie wanaomjaza kiburi watachapwa kichapo cha mbwa mwizi; hatokaa asikike au aonekane tena forever and ever. Badala ya kuchagua amani yeye kaamua kuchagua shari. Ile showoff ya mavifaa ya kijeshi in public ni ujinga zaidi ya akili. Wenye akili zao hawafanyagi vile. Hata hapa Serikali yapaswa kuacha maonesho ya zana kijeshi maana tunaonekana kituko tu mbele ya jamii. By the way, vijinchi vya kikomunisti/kijamaa huwa vina hulka za aina hiyo sana.
Si mmwambie trump Ajaribu.
 
Huyo Kim na wajinga wenzie wanaomjaza kiburi watachapwa kichapo cha mbwa mwizi; hatokaa asikike au aonekane tena forever and ever. Badala ya kuchagua amani yeye kaamua kuchagua shari. Ile showoff ya mavifaa ya kijeshi in public ni ujinga zaidi ya akili. Wenye akili zao hawafanyagi vile. Hata hapa Serikali yapaswa kuacha maonesho ya zana kijeshi maana tunaonekana kituko tu mbele ya jamii. By the way, vijinchi vya kikomunisti/kijamaa huwa vina hulka za aina hiyo sana.

Amechagua shari Kivipi?, we uoni Wamarekani ndio wamechagua shari kutaka kumvamia mtu nyumbani kwake?
 
Huyo Kim na wajinga wenzie wanaomjaza kiburi watachapwa kichapo cha mbwa mwizi; hatokaa asikike au aonekane tena forever and ever. Badala ya kuchagua amani yeye kaamua kuchagua shari. Ile showoff ya mavifaa ya kijeshi in public ni ujinga zaidi ya akili. Wenye akili zao hawafanyagi vile. Hata hapa Serikali yapaswa kuacha maonesho ya zana kijeshi maana tunaonekana kituko tu mbele ya jamii. By the way, vijinchi vya kikomunisti/kijamaa huwa vina hulka za aina hiyo sana.
Ameonyawa gotta behave - message loud and clear .
 
Kumuua panya kwenyewe kunahitaji timing kali. Anachofanya Trump na timu yake ni kuandaa mazingira ya kuepusha madhara kwa wananchi wa kawaida "kadiri inavyowezekana". Kwamba kiduku atatandikwa sio suala la mjadala tena; inasubiriwa signature ya mzee tu vijana wafanye mambo.
Acha uongo.marekani anaogopa jamaa ataipiga nchi ya marekani kwa Bomu la kuisambaratisha kabisa.mapank haogopi.jaribuni muone.kila siku maneno.
 
Amechagua shari Kivipi?, we uoni Wamarekani ndio wamechagua shari kutaka kumvamia mtu nyumbani kwake?
Ungejua ujinga anaoufanya pale Korea Peninsula since 1950's usingeongea hayo. Ungejua Marekani na washirika wengine wameingia gharama kiasi gani kuhakikisha usalama wa eneo lile kwa miongo mingi simply kwa sababu ya mjeuri mmoja ungefikiria mara mbili mbili kabla kuandika ulichoandika. Imetosha, huyo mjinga aondolewe once and forever, eneo lile liwe na amani ya kudumu.
 
Kumuua panya kwenyewe kunahitaji timing kali. Anachofanya Trump na timu yake ni kuandaa mazingira ya kuepusha madhara kwa wananchi wa kawaida "kadiri inavyowezekana". Kwamba kiduku atatandikwa sio suala la mjadala tena; inasubiriwa signature ya mzee tu vijana wafanye mambo.
***
POINT ILIOKO HAPO NI KUYAFAHAMU MASILAHA YAKE ANAPOYAWEKA NA "KUYAANGAMIZA"YOOTE KOKOTE YALIPO.
 
Huyo Kim na wajinga wenzie wanaomjaza kiburi watachapwa kichapo cha mbwa mwizi; hatokaa asikike au aonekane tena forever and ever. Badala ya kuchagua amani yeye kaamua kuchagua shari. Ile showoff ya mavifaa ya kijeshi in public ni ujinga zaidi ya akili. Wenye akili zao hawafanyagi vile. Hata hapa Serikali yapaswa kuacha maonesho ya zana kijeshi maana tunaonekana kituko tu mbele ya jamii. By the way, vijinchi vya kikomunisti/kijamaa huwa vina hulka za aina hiyo sana.
hehehehehe we jamaa unachekesha kweli.. Kwani hayo maonyesho anayafanya korea pekee?

Nchi nyingi tu duniani hufanya hivyo..
 
Back
Top Bottom