North Korea experiencing severe Internet outages

Kama alikuwa kazoea kwenda Spankwire au Xhamster leo imekula kwake.

Sitashangaa tukija kusikia kaamuru IT techs wake wote wauliwe halafu kama inavyodaiwa aliagiza kwa yule sijui mjombae au dingi yake mdogo.

Kwani huwa anaamka tu na Kutaka watu wauliwe? Kisa ni yule baba yake mdogo? Hivi Edward Snowden yuko wapi siku hizi!? Hasemwi wala hajisemi sijui kakimbia nini wakati alisema ukweli au aliogopa kuuwawa na wale majasusi watesaji wa CIA? ila wale hawaui raia wao wanawaendea kina sadam na osama.

Mpaka sadam hussein anakata roho osama alikuwa anasadikika kuwa amejificha. He was a terrorist bombed a building killing 3500 Americans. The Americans did very same thing ambacho alshabab anakifanya leo Kenya. KDF walifanya uvamizi kwenye udongo wao na wao wanaharibu udongo wa Kenya. Hivi vita dhidi ya ugaidi imeua wangapi hadi leo? Serikali ya kim imetoa hukumu kwa mtu aliyekosa. America imeua mamia kwa maelfu ya watoto, wazazi tegemewa kwa family zao, maraisi, wasomi wa nchi mbali mbali.... Bado kim anaitwa muuaji mbele ya watu hawa,bado tupo tunaorusha lawama juu ya utawala wa kim na kusahau kuwa kim hajawahi tuma drones kwenda Libya kumuua Gaddafi, kim anashutumiwa na watu tunamchora na kumtusi kwa shutuma ambazo binafsi amezikataa zakuhack mtandao wa Sony ilhali Snowden katoka kusema juzi tu juu ya ushenzi wa NSA wapi tunapewa nguvu hii ya kuona kwa jicho moja? Tuna maslahi gani kwa mmarekani?

Kama nchi inayoendelea nadhani lazima tuamini kuwa linalomkuta dprk litatukuta na sisi. Kama si kupakwa matope na medias za us basi tutavamiwa kama kuku na kuchinjwa kisha wataondoka...
 

And your point is....?
 
nadhani fat boy alikuwa anakesha xvideos kupakuwa mzigo.:becky:

On a more serious note, sidhani kama hata Wakorea wengi wataathirika na hiyo outage kwa sababu wengi wao hawana access na mtandao.

Inasemekana huko NK kuna Internet Protocols 1024 tu wakati Marekani kuna mabilioni ya hizo protocols.

So just to put things into perspective, not a whole lot of folks will be affected there in the Hermit Kingdom.

They can't even feed themselves for Pete's sake!
 
USA baby. Unagombea kisu akati umeshika makali mwenzio kashika mpini
 
Nakushangaa raia mtiifu wa marekani unamnyooshea kidole kim ikiwa ndani ya nchi yako(America) kuna uozo mwingi usiotaka kuusema. Ikiwa unachukizwa na uonevu useme wote.

Mimi ni Mtanzania.

Huo uraia wa Marekani ulinipa wewe?
 
USA baby. Unagombea kisu akati umeshika makali mwenzio kashika mpini

Nadhani Wamarekani wamefanya hivyo [kama kweli wamefanya wao ingawa binafsi naamini wamefanya] ili kutuma ujumbe tu.

Sidhani wamefanya hivyo kwa lengo la kufanya uharibifu kwa sababu NK haina mtandao wa kusema ukiushambulia basi utasababisha uharibifu mkubwa.

If anything, katika cyber-warfare Marekani ina a lot to lose kuliko NK.

I mean, watu wana IP 1024 or thereabouts. Hata bongo nadhani tuna nyingi zaidi ya hizo.

Ndani ya Hermit Kingdom hakuna kitu zaidi ya njaa, dhiki, na mikwara mingi.
 
seems Pyongyang is a very modern city..love US lakini nao kwa propaganda hawana tofauti na fat boy.
 
seems Pyongyang is a very modern city..love US lakini nao kwa propaganda hawana tofauti na fat boy.

Kuna asiyefanya propaganda kwani? Hata Tanzania ilikuwa inapiga propaganda dhidi ya Idi Amin. Hakuna aliye above propaganda. Wote wanazipiga tu na sehemu muhimu ya mapambano.

BTW, kwa nini usilipeleke hilo tunyetunye lako vacation huko Pyongyang:becky:?
 

you mean this tunyetunye with hot thigh gap..kula kwa macho tuu kiwango chako kidogo
 
you mean this tunyetunye with hot thigh gap..kula kwa macho tuu kiwango chako kidogo

Una bahati internet yako haijafanyiwa kama ya Kim la sivyo ungekosa pa kuchukulia picha na kubandika humu kama yeye alivyokosa access ya kuangalia porn sites zake leo.
 
Lights are out.........shoooooooooooow tiiiiiime!
 
Cyber War USA inabidi ajiweke sawa sana maana yeye ndo target ya Cyber criminals wengi sana. Makampuni makubwa sana yako huko USA na ndio makampuni tajiri sana
 

Propaganda hizo baada ya kupigwa na north korea sasa wanatapatapa inawezekana vp nchi kama usa inayojitapa kama ni bingwa wa technology wakapigwa na north korea ni fedheha, sasa wanajinasibu na wenyewe wamelipa kuficha fedhea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…