North Korea wanekuwa wanafanya majaribio haya kwa miaka. Yanaandikwa na vyombo vya habari dunia nzima.Ndio Break News kwa sasa all over the World ila Kim mjeuri jaman khaa..!!
America won't do anything as even themselves were aatonished and suprised to see North Korea had missiles tena Submarine capable of being launched to every corner of Washington! Wamekiri hawakuwa wanafahamu so Trump no matter anataka au hataki watamshauri tu afikirie mara mbili kuishambulia Korea.
Hakuna uhakika wowote ule kuwa test yake ile imefailure kwasababu taarifa hizi zimetolewa na mashirika ya magharibi yenye propaganda za kutosha...credibilty ya taarifa hii kuwa zimefailure siyo ya uhakika kabsaaa,ulimwengu wa sasa ni vigumu vyombo vya habari vya magharibi ambazo nchi zao wanajianda na vita hii ya NRKorea kutoa taarifa zozote ambazo ni mbaya kwao kwahiyo kila taarifa ya NRkorea lazima iwe ni negative kabsaa...Mimi nadhni ukiangalia kwa ndani zaidi ni kuwa vita yoyote itakayoanzishwa na marekalini dhidi ya korea kaskazini lazima china atashirki kumsaidia china..maana mkakatati wa NWO ni kucontrol nchi zote duniani.mkwahyo hawa jamaa awawezi kuishia china pekeeeImethibitika leo nuke yake ni uchwara. Sasa wanaweza kumshushia kipigo cha kufa mtu, ila bado wana wasi wasi ana madude gani mengne ambayo anaweza akatumia. Akijaribu kutest nuke kwa mara nyingine tena ikifail basi imekula kwake sidhani kama atamaliza mwaka huu akiwa madarakani. Kana kelele sana haka ambazo zinaweza kabisa kukaponza kakaishia kupata kichapo.
Hakuna uhakika wowote ule kuwa test yake ile imefailure kwasababu taarifa hizi zimetolewa na mashirika ya magharibi yenye propaganda za kutosha...credibilty ya taarifa hii kuwa zimefailure siyo ya uhakika kabsaaa,ulimwengu wa sasa ni vigumu vyombo vya habari vya magharibi ambazo nchi zao wanajianda na vita hii ya NRKorea kutoa taarifa zozote ambazo ni mbaya kwao kwahiyo kila taarifa ya NRkorea lazima iwe ni negative kabsaa...Mimi nadhni ukiangalia kwa ndani zaidi ni kuwa vita yoyote itakayoanzishwa na marekalini dhidi ya korea kaskazini lazima china atashirki kumsaidia china..maana mkakatati wa NWO ni kucontrol nchi zote duniani.mkwahyo hawa jamaa awawezi kuishia china pekeee
Mimi nadhni ukiangalia kwa ndani zaidi ni kuwa vita yoyote itakayoanzishwa na marekalini dhidi ya korea kaskazini lazima china atashirki kumsaidia china..maana mkakatati wa NWO ni kucontrol nchi zote duniani.mkwahyo hawa jamaa awawezi kuishia china pekeee
Tatizo la itawala wa Trump unaamini katika fedha na sio akilingoja nikaange debe la bisi nikae front seat, mikwara ya mkubwa kwende kwa mtoto jeuri imefikia pasweet!
THAAD China anaiogopa sana
Inaonesha movement zote za Jeshi la china na ndio maana anampiga Ban SKorea kila siku
Yaan trump anaaibika sana amesogeza meli kubwa halafu kijana anamdhalilisha saiv tunaambiwa amepewa taarifa yahilo jaribio akakaa kimya yaan huyu rais atakua kama mr bean muda sii.mref