Acha uzinzi. Unauhakika huko atokako hafanyi na mtu mwingine? Akikosa mimba utapata ngoma. uzinzi ni NOMA. Msubiri mpaka akiwa mkeo ndio mfanye ngonoLeo mchumba wangu amekuja kunitembelea sasa swali langu ni namna ya kuepusha mimba,kwani alianza monthly period tarehe 29.04.2012 sasa je leo tukifanya mapenzi bila kutumia kinga anaweza akaupata ujauzito? Naombeeni mnisaidie
Leo mchumba wangu amekuja kunitembelea sasa swali langu ni namna ya kuepusha mimba,kwani alianza monthly period tarehe 29.04.2012 sasa je leo tukifanya mapenzi bila kutumia kinga anaweza akaupata ujauzito? Naombeeni mnisaidie
kama ni mchumba msifanye kabisa manake mtakuwa mnazini. msihalalishe dhambi.
hapo mjiandae kuvuna mtakachopanda.remember sperms hazikai humo ndani siku moja tu so take note of that.