Mwizukulu wa Buganda
JF-Expert Member
- Nov 19, 2024
- 638
- 1,771
Nadhani Mbunge awe na degree au diploma kwa sababu kuna mikataba inaingizwa mule bungeni, usipokuwa na elimu na information za kutosha tutajikuta tunatunga sheria haziendi kuleta maslahi na Ustawi wa wananchi.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
"Kwenye elimu kwa upande wa wabunge tusiishie kusema kusoma na kuandika ndio iwe kigezo cha kuwa Mbunge, twende mbali zaidi tuangalie kama ni diploma, stahahada, au shahada kwa sababu kwa sasa hivi hapa Tanzania wasomi ni wengi sana"-
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
"Kwenye elimu kwa upande wa wabunge tusiishie kusema kusoma na kuandika ndio iwe kigezo cha kuwa Mbunge, twende mbali zaidi tuangalie kama ni diploma, stahahada, au shahada kwa sababu kwa sasa hivi hapa Tanzania wasomi ni wengi sana"-