Kwani wewe ni mtanzania? Sidhani kama kuna mtanzania halisi mwenye fikra duni kwa kiasi cha kiwango chako!
Watanzania wamewapokea na hata kuwaruhusu watu wasio watanzania asilia, mpaka kuwapa na madaraka, halafu ikawe Polepole ambaye ni mtanzania asilia?