Hayo ndio ma ccm mengi huku mtandaoni hayana akili na wala haielewi inakurupuka kupost vitu hata hawavielewi.
Huyo kilaza wa mbogamboga itakuwa haelewi hata maana ya person non grata
Kwa sasa inachojua au kilichopandikizwa kichwani kwao ni MAma hana deni.
Mipumbavu kabisa
Huwezi kumnyang'anya mtu kitu asichokuwanacho, ubalozi alishautema. Kwenye uraia mvumilieni tu maana kuteka na kupoteza ni kumnyang'anya uraia kulikwovuka viwango.
Wewe kilaza wa mbogamboga ,ng'ombe ya Mama isiyojielewa sasa anyang'anywe vipi ubalozi ambao ameshautema.
Au ulikuwa unamaanisha hadhi ya ubalozi?
Halafu Non granta maana yake nini?
Manake nyie ng'ombe za Mama huku mtandaoni akili zenu ni zero kabisa hamjui hata mnavyoandika au mnamaanisha nin