Habari wakubwa leo jioni wakati natoka kwenye mishe mishe zangu za hapa na pale nimeangusha nokia yangu ya tochi ila ina security code,je mtu aliyeokota anaweza kwenda kuflash ikakubali kama smartphone
Sio mpaka Flush just press number 1 and 3 and power button while restating the phone will start and ask for security code enter 1234 then the phone will be unlocked and change the security code