nokia n97 kwa 170,000 Tsh.

nokia n97 kwa 170,000 Tsh.

best bestest

Member
Joined
Apr 23, 2013
Posts
12
Reaction score
1
nokia n97 inauzwa ni used ila nzima na original ina 32gb,camera ya nyuma 5.4 megapixel na mbele 2.8, ina ruhusu wireless kwa shilingi laki moja na sabini.
 
nokia n97 inauzwa ni used ila nzima na original ina 32gb,camera ya nyuma 5.4 megapixel na mbele 2.8, ina ruhusu wireless kwa shilingi laki moja na sabini.

ok umesomeka sana mkubwa ila mi naomba kuuliza tafadhali iv kwa nokia n97 au n900 znapatikana kwa bei gan dar na sehem gan...?? Coz si wengne tupo mikoani mkubwa.
 
n9000 sijajua ila n97 mara ya mwisho hivi karibini nimeiona dukani kwa laki 6. Ila n97 mini sijajua bei yake
 
niuzie mimi ila tutakupataje mkuu? humu jamiiforums?
 
Back
Top Bottom