Nokia N70 from Germany inauzwa

Nokia N70 from Germany inauzwa

Rupee

Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
32
Reaction score
1
wakuu nina Nokia N70 nimeitumia ndani ya mwezi mmoja iko kwenye good condition unapata na charger yake..nicheck +255653638824

Bei yake ni Tshs 90,000 inapungua
 
Daah we muongo simu ya mwaka 2005 afu unasema umutumia miezi miwili shame on you.
 
Daah we muongo simu ya mwaka 2005 afu unasema umutumia miezi miwili shame on you.

sasa kama ni ya 2007 na mimi nimenunua hata mwezi haina wew unachobisha nini?? Acha ulimbukeni wa biashara za wa2..simu haujaiona unajifanya mjuaji..fu*ck in yo asshole!!
 
Sasa mmeanza kuuza matusi ama?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Kwanza nani atanunua simu za zamani ambazo hazisuport whatsup na software mpya iyo mpe hata dogo lako auzie kitaa
 
wa2 wengne mmeumbwa kwa ajil ya kuarbu mipanglio ya wa2..jambo unaona halikuhusu kaa kushoto!! Khalafu unakaa unaongelea biashara ya mwenzako ji2 zima lenye akili zake..kuweni waastarabu sio mpaka u2kanwe au upigwe ndo ujirekebishe..

Ni hayo 2!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom