Nokia Lumia 510 - Msaada wa Internet

Nokia Lumia 510 - Msaada wa Internet

KASRI

Member
Joined
May 2, 2009
Posts
93
Reaction score
22
Habari za Mchana,
Naomba msaada wa kuweza kutumia internet ya mtandao wa AIRTEL kwenye simu aina ya Nokia Lumia 510. Nimejaribu kuisomasoma ila sijafanikiwa jinsi ya kujiunga.
Nilikuwa natumia "line" hii hii kwenye Blackberry.
Natanguliza Asante kwa msaada wenu.
 
mkuu jaribu kuingia store kwa wifi then download nokia setup apps ina setting zote za internet.

Pia unaweza manual kwenda setting kwenye network ukatengeneza apn yako.

Jaribu pia kwa line ya voda ambayo nafkiri inakubali bila kuset chochote
 
Back
Top Bottom