Nokia lumia 1320 kwa tanzania

Nokia lumia 1320 kwa tanzania

Kadabrah

Member
Joined
Nov 8, 2013
Posts
54
Reaction score
7
habari wakuu ningependa kujua bei ya lumia1320 kwa hapa bongo na ntaipata maduka gani?
 
niliwai iona pale airtel morocco kwa chini dukani!!! bei sikuuliza
 
cc chief-mkwawa

tigo shop inauzwa 690,000tsh nadhani zile shops kubwa kubwa.

Nokia | Tigo.co.tz

kumbuka vitu always kwenye tigo shop ni ghali kdg except huawei phones coz wameingia ubia wa biashara. usiwe mvivu kuzunguka zaidi

midcom east africa wana dealers wao dar. washawahi nitajia nimesahau. uki wa email wana reply asap. wanauza Ksh 31,350 approximately tsh 590,000

cheki hapa; Nokia Lumia 1320
 
Last edited by a moderator:
bei zake zinarange 500,000 hadi 600,000 posta zipo maduka mengi tu.
 
cc chief-mkwawa

tigo shop inauzwa 690,000tsh nadhani zile shops kubwa kubwa.

Nokia | Tigo.co.tz

kumbuka vitu always kwenye tigo shop ni ghali kdg except huawei phones coz wameingia ubia wa biashara. usiwe mvivu kuzunguka zaidi

midcom east africa wana dealers wao dar. washawahi nitajia nimesahau. uki wa email wana reply asap. wanauza Ksh 31,350 approximately tsh 590,000

cheki hapa; Nokia Lumia 1320

Shukrani sana kwa good info
 
Last edited by a moderator:
Ahsante mkuu pia naomba kujua kama zinasupport miamala kama ya mpesa and others pia shortcoming zake kwa mazingira ya kibongo

kaka simu zote zinazoishiwa na 20 au 30 hazina matatizo ya miamala ya pesa na pia zina vitu vyote vya msingi
 
Maduka ya Posta bei yao ya mwisho ni 600,000.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom