inategemea na model ya simu yako. Kama ni mpya hizi zilizotoka na Android 8 unaweza kupata ingawa kwa zilizokuja na android 9 ndio itakuwa uhakika zaidi kwa sababu hawa jamaa wakishakupa major update moja ndio basi tena hadi simu ife, ila mfumo wa simu za tecno,itel,infinix mara nyingi unadownload manually kwenye sd card halafu unainstall manually.
kama ulikuwa android 8 ukapata 9 basi si rahisi kupata 10.