Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,596
- 1,236
Mshindi atajulikana leo hii mnamo saa saba kwa saa za Afrika Mashariki. Kaa mkao wa kula!
Yap, ni European Union ambayo imepata Nobel Peace Prize. Hamna jipya!
![]()
Vasco Dagama ndo nani huyo?Inaelekea hujapendezwa na matokeo, je ulitegemea Vasco Dagama atapata? Yeye angojee zawadi kutoka kwa wanamtandao wake atakapong'oka!!
Vasco Dagama ndo nani huyo?
Sasa hapa ni nani aliyefyatuka? Acha hizo za uhayawani. Heshima ni kitu cha bure!Uwe mbayu wayu uchanganye na zako!!
heko kwa EU,bila wao hatuwezi huduma zote wao ndo wafadhili
Sasa hapa ni nani aliyefyatuka? Acha hizo za uhayawani. Heshima ni kitu cha bure!
Kama vile nilivyokuita, sio?Kweli heshima ni kitu cha bure! Anayejiheshimu pia ataheshimiwa, lakini ukifanya mambo ya kihayawani shulti uitwe unavyostahili HAYAWANI!!!!
Kama vile nilivyokuita, sio?
Nakubaliana na wewe!Mkuu upo kwenye list yangu ambao nawaheshimu sana humu jf, please msiende huko.
Kama vile nilivyokuita, sio?
Wewe dogo inaonekana unawashwa. Niko tayari kukuna!Hapana , wewe na uzao wako ndio mlivyo!!
Wewe dogo inaonekana unawashwa. Niko tayari kukuna!
Ha ha ha. Nimekugusa sio?Kama unajua kukuna lazima ulikunwa enzi ya ujana wako!! Boflooooo, Askari kumbe chakula, nenda kapakue!!
Ha ha ha. Nimekugusa sio?
Naona hii ndo lugha uliyofunzwa na mama'ko. Dawa ya vilaza ka wewe ni kuwapotezea!Wewe ndio umejigusa; mgojee Bofloooo anakujia!!