Rich Forever
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 467
- 469
Kila la kheri mkuu maana haya magari yakishaanza kuchemka ndio uuzaji huu wa hasara,maana mimi voxy yangu ilifikia muda uko ndani ya gari utafikiri upo kwenye mashine ya kutotoleshea vifaranga nikaitupa kwa mil. 5 tu
Kwa nn umepiga picha usiku...ungesubiri mchana mkuu ili picha zionekane vizuri
Kama vile limepigwa picha lilikokuwa limefichwa!!!Kwa nn umepiga picha usiku...ungesubiri mchana mkuu ili picha zionekane vizuri
Kila la kheri mkuu maana haya magari yakishaanza kuchemka ndio uuzaji huu wa hasara,maana mimi voxy yangu ilifikia muda uko ndani ya gari utafikiri upo kwenye mashine ya kutotoleshea vifaranga nikaitupa kwa mil. 5 tu
Labda gari ya wizi. HahaaaKwa nn umepiga picha usiku...ungesubiri mchana mkuu ili picha zionekane vizuri
Labda gari ya wizi. Hahaaa
Uko sahihi mkuuGar ya wiz inauzwa mtandaoni watanzania baadhi ni wajinga na wapumbavu mitandao mnaitumia hovyo kama huna cha kupost kaa kimya haya ndo matatizo ya kumiliki kitu usijua matumiz yake
Muuzaji nina ml.5 cash,kama upo tayari karibu PM tuyajenge kwa ukaguzi
Ni auto au manual
hii kula tatu na nusu fasta
Kuna bajaji kwa hiyo hela mkuu
Acha ujinga, gari imepigwa picha ndani kwenye gear hapo alafu unauliza auto au manual, ina maana huoni hapo??Ni auto au manual
haha zinachemshaga sana hizi voxy yupo jamaa ameinunua voxy tena namba B aisee sioni hata akiendesha zaidi ya kuitupa kama weweKila la kheri mkuu maana haya magari yakishaanza kuchemka ndio uuzaji huu wa hasara,maana mimi voxy yangu ilifikia muda uko ndani ya gari utafikiri upo kwenye mashine ya kutotoleshea vifaranga nikaitupa kwa mil. 5 tu