Nilipatwa na dharura wakati niko tayari kwenda safari Mwanza, nikapiga call center ya precision simu inanipa matangazo ya ROYAL PAA haipokelewi hata baada ya kurudia mara tatu nikaachana nao. Kesho yake naenda airport naambiwa kalipie "No show fee Tsh 25,000" nikakumbuka siku nimekaaa Mwanza masaa sita nangoja ndege na sikulipwa "Flight delay compensation" na siku ile nikosa kuhudhuria arusi kanisani. Toa nikupe kama mnatoza fee lipeni compensation inapokuwa mmechemka