No request yet from Tanzania's Govt on ‘Swiss billions’

No request yet from Tanzania's Govt on ‘Swiss billions’

Nilisoma hiyo habari ya Abacha days back; sikufuatilia vizuri; ila nadhani Nigeria wamethubutu kwa kuwa Abacha kasha kufa...mtoto wake kama niko sahihi ana kesi ya kuujumu uchumi pia...

Lakini kuna mixed debate kuna wanaoona ni kumuonea kwa kuwa baba kafa; ile nchi nayo ni janga kwani kuna wale wanaotokea North (kwa Boko Haram) yani wao ni udini mwanzo mwisho na wanaendelea kumuona Abacha na ukoo wake ni hero

Sidhani kama hiyo move itafanikiwa ...udini na ukanda ukitawala...

Na hata ukijiuliza Nigeria imeongozwa na ma dikteta wangapi? Unataka sema ni Abacha peke yale aloiba? Wote walikuwa wezi na bado ni ma bilionea; ila Abacha kafa ndio maana wanathubutu kuchokonoa mali zake...kuna kina Babangida na ukoo wake ni matajiri hatareee

Afrika tumelaaniwa...sijuhi ni hii ngozi au...te te te


 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wa-Swis ni washenzi tu linapokuja suala la pesa za wizi zinazofichwa kwao... kwanza, ingawaje wanasema wanasubiri formal request, wala msidhani wakishapokea formal request tu wana-disclose... hawafanyi hivyo. Wao hawataki request za jumla jumla... taja mtu, kisha utoe sababu za kutosha kuonesha kwamba possibly, hizo fedha muhusika ama amezipata kwa njia ya wizi au rushwa! Miaka kadhaa iliyopita, Uswis waliitisha kura ya maoni ya ikiwa wamebadilisha banking system yao inayotoa extra-ordinary confidentiality... majority ya voters wana-favor the current system iendelee.

Kuna baadhi ya nchi wanakuwa na comparative advantage. Kwa mfano Nigeria, dunia mzima ilifahamu kwamba Sani Abacha alikuwa mwizi wa kutupwa kwahiyo hata Uswis hawakuwa na namna zaidi ya ku-disclose.

Nchi nyingi ambazo zimewahi kupata info kutoka benki za Uswis, wanapata info hizo wa kutumia illegal means. Kwa mafano, few years ago, kuna mbunge mmoja wa Ujerumani alilazimika kulipa Euros za kutosha kununua info... yaani unatafuta pesa zilizofichwa kwa njia ya rushwa lakini kupata info unalazimika tena kutumia rushwa!!
 
Kwanza kinyesi wewe na bab.a ako.

then, kama zitto anajidai mpigania haki za watanzania kwanini asiweke majina? Kuwa nayo itakuwa na essence gan kusema kwenye public kuwa anayo? Mbona Dr. Slaa aliweka hadharani list of shame na hawajamfanya kitu?

Zitto anatafuta cheap publicity

Bulldog - usipoteze muda na huyu Abunuas. Just imagine ID yake kwanza. Fuatlia majibu yake mengi lazima aweke hilo neno kinyesi. Huenda chumba anachopanga zamani palikuwa na choo. Ubongo wake umeingiliwa na kinyesi.
 
Story first published on: October 16, 2013

Geneva
In a major boost for India and other countries seeking details on suspected black money stashed in Swiss banks, Switzerland has agreed to exchange of information and mutual administrative assistance in tax matters with overseas authorities.


The development virtually pulls down the famed secrecy wall surrounding Swiss banks.

According to latest official figures released by Swiss National Bank, Indians in Swiss banks held about Rs. 9,000 crore (2.18 billion Swiss francs) at the end of 2012. The overall amount held in Swiss banks by entities from across the world is estimated at around Rs. 90 lakh crore.

In a White Paper on black money tabled in the Indian Parliament last year, the government said that total liabilities of Swiss banks towards Indians have been coming down since 2006 and fell by more than Rs. 14,000 crore during 2006-2010 period.

Switzerland has been facing intense global pressure to cooperate with overseas authorities to share information about accounts in its Swiss banks, which have long been known to be misused by entities from across the world, including from India, for evading taxes in their local jurisdictions.

Buckling under the international pressure, Switzerland has signed the Multilateral Convention on Mutual Administrative Assistance in Tax Matters. The convention has now been signed by 58 countries, including India. The convention provides for sharing of information among all its signatories for fighting tax evasion and concealment of illicit funds.

This marks "the end of banking secrecy" in Switzerland, said Pascal Saint-Amans, the head of tax issues at the Organisation for Economic Cooperation and Development (OECD). The inclusion of Switzerland in the agreement to exchange information will be "highly significant" in the fight against tax evasion, he said. The Paris-based OECD has spearheaded a clampdown on tax evasion and the concealment of illicit funds. Until now, many tax authorities, and their governments, have complained that cross-border tax investigations have been hampered by the complex routes used to hide funds and the obstructionism on the part of some national authorities.

Swiss banking secrecy in its current form took shape before World War II, and provided the victims of Nazi persecution with a way to protect their assets. The movement to scrap the policy in Switzerland and other well-known "tax havens" arose after the financial crisis of 2008 and subsequent eurozone debt crisis. Ordinary people, struggling under austerity measures and asked to bear higher taxes to cover the costs of the crises, were outraged by revelations of tax evasion and avoidance by corporations and wealthy individuals.

US tax authorities in particular took tough action against some Swiss banks. At the same time, high-profile controversies arose when lists of bank accounts stashed in Switzerland were leaked to tax authorities elsewhere.

Wa-Swis ni washenzi tu linapokuja suala la pesa za wizi zinazofichwa kwao... kwanza, ingawaje wanasema wanasubiri formal request, wala msidhani wakishapokea formal request tu wana-disclose... hawafanyi hivyo. Wao hawataki request za jumla jumla... taja mtu, kisha utoe sababu za kutosha kuonesha kwamba possibly, hizo fedha muhusika ama amezipata kwa njia ya wizi au rushwa! Miaka kadhaa iliyopita, Uswis waliitisha kura ya maoni ya ikiwa wamebadilisha banking system yao inayotoa extra-ordinary confidentiality... majority ya voters wana-favor the current system iendelee.

Kuna baadhi ya nchi wanakuwa na comparative advantage. Kwa mfano Nigeria, dunia mzima ilifahamu kwamba Sani Abacha alikuwa mwizi wa kutupwa kwahiyo hata Uswis hawakuwa na namna zaidi ya ku-disclose.

Nchi nyingi ambazo zimewahi kupata info kutoka benki za Uswis, wanapata info hizo wa kutumia illegal means. Kwa mafano, few years ago, kuna mbunge mmoja wa Ujerumani alilazimika kulipa Euros za kutosha kununua info... yaani unatafuta pesa zilizofichwa kwa njia ya rushwa lakini kupata info unalazimika tena kutumia rushwa!!



 
This is a case of;"seting a thief to catch a thief." At times it works, but and a big but, it doesn't work all the time
Kama wanataka formal request ili warelease hayo majina sasa Zitto alikuwa anafichua majina ya wapi??
 
nyumba kubwa sidhani kama kufanikiwa kwa Nigeria kuzipata hizo pesa zilizoibwa na Abacha kunatokana na yeye kufa. Sheria hii inawahusu wafu na walio hai pia hivyo hata hayo mabilioni ya Uswiss kama Serikali hii ikitaka pesa hizo zirudishwe zitarudi tu, lakini kama ujuavyo hii Serikali imejaa mafisadi ambao wanajua dhambi zao. Kwa hiyo kuna uwezekano mkubwa wa kupotezea ufuatiliaji wa pesa hizo ili kutafuta pa kutokea ili waendelee kufichiana dhambi zao.

Kumbuka jinsi Serikali hii dhalimu ilivyoshughulikia ufisadi wa Rada $42 million, EPA $133 million, Meremeta $155 million, Kagoda na sasa Escrow $112 million. Ukiondoa EPA ambapo vidagaa tu ndio vilipandishwa kizimbani wala mapapa wa ufisadi katika wizi wa mapesa hayo mkono wa sheria haukuwagusa hata chembe!!

Nilisoma hiyo habari ya Abacha days back; sikufuatilia vizuri; ila nadhani Nigeria wamethubutu kwa kuwa Abacha kasha kufa...mtoto wake kama niko sahihi ana kesi ya kuujumu uchumi pia...

Lakini kuna mixed debate kuna wanaoona ni kumuonea kwa kuwa baba kafa; ile nchi nayo ni janga kwani kuna wale wanaotokea North (kwa Boko Haram) yani wao ni udini mwanzo mwisho na wanaendelea kumuona Abacha na ukoo wake ni hero

Sidhani kama hiyo move itafanikiwa ...udini na ukanda ukitawala...

Na hata ukijiuliza Nigeria imeongozwa na ma dikteta wangapi? Unataka sema ni Abacha peke yale aloiba? Wote walikuwa wezi na bado ni ma bilionea; ila Abacha kafa ndio maana wanathubutu kuchokonoa mali zake...kuna kina Babangida na ukoo wake ni matajiri hatareee

Afrika tumelaaniwa...sijuhi ni hii ngozi au...te te te
 
Story first published on: October 16, 2013Geneva In a major boost for India and other countries seeking details on suspected black money stashed in Swiss banks, Switzerland has agreed to exchange of information and mutual administrative assistance in tax matters with overseas authorities. The development virtually pulls down the famed secrecy wall surrounding Swiss banks. According to latest official figures released by Swiss National Bank, Indians in Swiss banks held about Rs. 9,000 crore (2.18 billion Swiss francs) at the end of 2012. The overall amount held in Swiss banks by entities from across the world is estimated at around Rs. 90 lakh crore. In a White Paper on black money tabled in the Indian Parliament last year, the government said that total liabilities of Swiss banks towards Indians have been coming down since 2006 and fell by more than Rs. 14,000 crore during 2006-2010 period. Switzerland has been facing intense global pressure to cooperate with overseas authorities to share information about accounts in its Swiss banks, which have long been known to be misused by entities from across the world, including from India, for evading taxes in their local jurisdictions. Buckling under the international pressure, Switzerland has signed the Multilateral Convention on Mutual Administrative Assistance in Tax Matters. The convention has now been signed by 58 countries, including India. The convention provides for sharing of information among all its signatories for fighting tax evasion and concealment of illicit funds. This marks "the end of banking secrecy" in Switzerland, said Pascal Saint-Amans, the head of tax issues at the Organisation for Economic Cooperation and Development (OECD). The inclusion of Switzerland in the agreement to exchange information will be "highly significant" in the fight against tax evasion, he said. The Paris-based OECD has spearheaded a clampdown on tax evasion and the concealment of illicit funds. Until now, many tax authorities, and their governments, have complained that cross-border tax investigations have been hampered by the complex routes used to hide funds and the obstructionism on the part of some national authorities. Swiss banking secrecy in its current form took shape before World War II, and provided the victims of Nazi persecution with a way to protect their assets. The movement to scrap the policy in Switzerland and other well-known "tax havens" arose after the financial crisis of 2008 and subsequent eurozone debt crisis. Ordinary people, struggling under austerity measures and asked to bear higher taxes to cover the costs of the crises, were outraged by revelations of tax evasion and avoidance by corporations and wealthy individuals. US tax authorities in particular took tough action against some Swiss banks. At the same time, high-profile controversies arose when lists of bank accounts stashed in Switzerland were leaked to tax authorities elsewhere.
Kwanza tukumbushane jambo moja... in most cases, sisi pesa zetu zilizopo Uswis ni za wizi na matunda ya ufisadi not largely on tax evasion. Hizi za kwetu watu wamepiga kama ilivokuwa kwa mtu kama Sani Abacha au Mobutu. Lakini wakati kwa upande wetu hali ni hiyo, nchi za wenzetu, hususani nchi za Ulaya na America, pesa nyingi zilizo Uswis zinatokana na ukwepaji kodi... unakuta mtu pesa ni halali kabisa, lakini kwa kuhofia kodi kwenye domicile country, anaamua kuziweka kwenye Swiss Accounts ambako kuna very little or no tax.Sasa hiyo convention unayoisema ambayo ni ya juzi tu hapa, inahusisha sana masuala ya kodi as a whole, hususani suala zima la ku-disclose tax information pale panapokuwa na shaka ya muhusika kwamba anakwepa kodi. Mathalani, mimi ni exporter, records zinaonesha nime-export hundred of tons za kahawa in a given year. Matokeo yake, my domestic accounts zinaonesha nina some millions. Hapa hakuna niliyemuibia... lakini kuna harufu ya ukwepaji kodi kwavile mapato yangu hayafanani na ukubwa wa biashara. Katika mazingira kama hayo, unaweza kutuma request kwa member state... kama ni India, kufahamu biashara yangu imeenda vipi huko? Au unaweza kutuma request mahali kama Uswis kuangalia transaction zangu within suspected time.So, ingawaje hiyo convention nayo ni muhimu kwa nchi kama Tanzania kusaini lakini kupata pesa zilizoibiwa tunahitaji kwenda mbali zaidi ya hapo... ikibidi, hata kutumia private investigator kama ambavyo nchi nyingi zinafanya! Ukituma PI, kwanza unapata pa kuanzia coz' tayari atakupa list ya watu wenye account... kwahiyo unapo-file request, tayari unakuwa na tangible input badala ya kusema I need accounts of Tanzanians....
 
Sheria hii ya Switzerland haina tofauti kama muhusika amekwepa kulipa tax ya 20% au pesa yote inayohusika ni ya wizi. Kwa mfano kama mtu alipata pesa halali ya $100 akatakiwa kulipa kodi $20 akakwepa kufanya hivyo na kwenda kuificha $100 Switzerland katika baadhi ya nchi atalipa hiyo $20 aliyokwepa kuilipa plus a huge penalty for tax evasion na interest ambayo ni compounded daily . Hivyo muhusika anaweza kutakiwa kulipa hata $150 kutegemea na hiyo pesa yake halali tangu aipate muda gani umepita.

Hii Serikali dhalimu iliyojaa mafisadi unadhani kweli ina nia ya kumuajiri private investigator afuatilie kuhusu pesa hizo? Angalia wizi wa billions 200 za Escrow ambazo Wabunge wa upinzani walitaka iundwe tume ya Wabunge kutoka vyama vyote ili wachunguze kwa kina kuhusu wizi huo na Serikali ikagoma. Hivyo hiyo ya kuajiri PI sahau kabisa kwamba Serikali hii ya mafisadi inaweza kufanya hivyo.

Balozi wa Switzerland nchini miaka miwili iliyopita aliishinikiza Serikali iombe ushirikiano toka nchi yake katika kufuatilia mabilioni hayo. Serikali hii hadi hii leo haijafanya hivyo na ikamkemea kwamba asiingilie utendaji wa Serikali.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-ask-swiss-assitance-track-corrupt-funds.html



Kwanza tukumbushane jambo moja... in most cases, sisi pesa zetu zilizopo Uswis ni za wizi na matunda ya ufisadi not largely on tax evasion. Hizi za kwetu watu wamepiga kama ilivokuwa kwa mtu kama Sani Abacha au Mobutu. Lakini wakati kwa upande wetu hali ni hiyo, nchi za wenzetu, hususani nchi za Ulaya na America, pesa nyingi zilizo Uswis zinatokana na ukwepaji kodi... unakuta mtu pesa ni halali kabisa, lakini kwa kuhofia kodi kwenye domicile country, anaamua kuziweka kwenye Swiss Accounts ambako kuna very little or no tax.Sasa hiyo convention unayoisema ambayo ni ya juzi tu hapa, inahusisha sana masuala ya kodi as a whole, hususani suala zima la ku-disclose tax information pale panapokuwa na shaka ya muhusika kwamba anakwepa kodi. Mathalani, mimi ni exporter, records zinaonesha nime-export hundred of tons za kahawa in a given year. Matokeo yake, my domestic accounts zinaonesha nina some millions. Hapa hakuna niliyemuibia... lakini kuna harufu ya ukwepaji kodi kwavile mapato yangu hayafanani na ukubwa wa biashara. Katika mazingira kama hayo, unaweza kutuma request kwa member state... kama ni India, kufahamu biashara yangu imeenda vipi huko? Au unaweza kutuma request mahali kama Uswis kuangalia transaction zangu within suspected time.So, ingawaje hiyo convention nayo ni muhimu kwa nchi kama Tanzania kusaini lakini kupata pesa zilizoibiwa tunahitaji kwenda mbali zaidi ya hapo... ikibidi, hata kutumia private investigator kama ambavyo nchi nyingi zinafanya! Ukituma PI, kwanza unapata pa kuanzia coz' tayari atakupa list ya watu wenye account... kwahiyo unapo-file request, tayari unakuwa na tangible input badala ya kusema I need accounts of Tanzanians....
 
Bulldog - usipoteze muda na huyu Abunuas. Just imagine ID yake kwanza. Fuatlia majibu yake mengi lazima aweke hilo neno kinyesi. Huenda chumba anachopanga zamani palikuwa na choo. Ubongo wake umeingiliwa na kinyesi.

Asante mkuu
 
Back
Top Bottom