NO REFORMS NO ELECTION ni kauli mbiu kuu ya wananchi na CHADEMA

NO REFORMS NO ELECTION ni kauli mbiu kuu ya wananchi na CHADEMA

Youbettersleep

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2019
Posts
944
Reaction score
1,628
NO REFORMS NO ELECTION ni kauli mbiu kuu ya wananchi na CHADEMA kwa ujumla, yaani ni kwamba hii statement sio ya CHAMA bali tangu 2005 watu walitaka mabadiliko ila watu wenye IQ kubwa kutoka CHADEMA wakaja kuiweka na kuipa moto.

Kwasasa kila raia anaijua sio mtoto wala mtu mzima yaan hadi wafu wanaijua hii kauli.

Ndugu zangu katika Reforms ifikapo OCTOBER mnajua nini cha kufanya.
 
NO REFORMS NO ELECTION ni kauli mbiu kuu ya wananchi na CHADEMA kwa ujumla, yaani ni kwamba hii statement sio ya CHAMA bali tangu 2005 watu walitaka mabadiliko ila watu wenye IQ kubwa kutoka CHADEMA wakaja kuiweka na kuipa moto.

Kwasasa kila raia anaijua sio mtoto wala mtu mzima yaan hadi wafu wanaijua hii kauli.

Ndugu zangu katika Reforms ifikapo OCTOBER mnajua nini cha kufanya.
kauli ya wananchi wepi?

ni section ya wananchi sio wananchi wote

wananchi hao hao 84% wanataka maccm yaendelee kupata madaraka

wananchi ni wananchi....huwezi kusema ni wananchi wote

msema kweli ipigwe kura,na kura kwa system yetu ni uchaguziambao hamuhutaki,which is unfortunate mtazama into obscurity milele

live and die with your decisions,who cares?
 
Back
Top Bottom