Imefanikiwa kutoa elimu na Watanzania wote sasa wanajua ukweli kwamba chaguzi za Tanzania kwa sasa sio za huru na haki.
Na wanajua mpaka sheria ziboreshwe hakuna chaguzi za huru na haki. Sasa wanajua Tanzania kuna chama kimoja tu cha upinzani.
Hiyo siku ya uchaguzi hata watu wakikaa nyumbani tayari ni ushindi. Hakuna mtu mwenye akili anafikiri kuna chaguzi mwaka huu
Na wanajua mpaka sheria ziboreshwe hakuna chaguzi za huru na haki. Sasa wanajua Tanzania kuna chama kimoja tu cha upinzani.
Hiyo siku ya uchaguzi hata watu wakikaa nyumbani tayari ni ushindi. Hakuna mtu mwenye akili anafikiri kuna chaguzi mwaka huu