technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,553
- 57,843
Niseme wazi kwa Sasa Mtanzania wa Leo hata mwanasiasa amfanyie Nini atanungunika tu na atahoji na kuhitaji zaidi!!
Hata uwape ajira mamilioni, uwape mikopo yote, uboreshe elimu, afya na barabara kiasi gani Watanzania wa leo hawatakuelewa.
Kwanini kwa sababu kampeni ya no reform no Election imeshaingia kwenye damu za Watanzania.
Hata ufanye Nini Watanzania na no reform no Election ishawaingia kwenye damu.
Nyie endeleeni kutuuwa Ila nawaambia CCM kiongozi yeyote atakayeingia madarakani halafu akaitupa hii ajenda ya no reform no Election
Hii hoja ya no reform no election ni Kama Maagano hakika zibeni masikio Ila nawaakikishia itameza wazee wanaoshupaza shingo mpaka vitukuu vyao!!
Magufuli hajawapa funzo tu endeleeni kushupaza shingo!!.
Hata uwape ajira mamilioni, uwape mikopo yote, uboreshe elimu, afya na barabara kiasi gani Watanzania wa leo hawatakuelewa.
Kwanini kwa sababu kampeni ya no reform no Election imeshaingia kwenye damu za Watanzania.
Hata ufanye Nini Watanzania na no reform no Election ishawaingia kwenye damu.
Nyie endeleeni kutuuwa Ila nawaambia CCM kiongozi yeyote atakayeingia madarakani halafu akaitupa hii ajenda ya no reform no Election
Hii hoja ya no reform no election ni Kama Maagano hakika zibeni masikio Ila nawaakikishia itameza wazee wanaoshupaza shingo mpaka vitukuu vyao!!
Magufuli hajawapa funzo tu endeleeni kushupaza shingo!!.