Nimekuwa najiuliza, kwa nini tume ya uchaguzi isiandaliwe kikatiba mazingira huru kutoka vyombo vyovyote vya serikali, yaani serikali inatenga bajeti nayo tume anajipanga kwa kutanua elimu ya kupiga kura kwa raia na kuandaa mazingira bora ya uchaguzi. naona badala yake tume inazidi kujitetea kwa lawama mbalimbali zilizojitokeza, si dhani hili la tume huru ni la kisiasa bali msingi wa democracy, sioni msingi kwa ndugu zangu wa tanzania kuumizana au kuuana kwa kutangaziwa matokeo wasiyo tegemea, ila ninge wasihi viongozi wa siasa na watanzania wote bila kujali chama tuungane kwa hoja hii, NI BORA KUPIGANIA TUME HURU, KULIKO KUPIGANIA MATOKEO.
wanaJF mnasemaje?
wanaJF mnasemaje?