Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,233
- 138,746
Ila Try Again anaboa sana si ndio alisema amemsajili Aziz Ki kumbe uongo.Sina maneno mengi. Maandalizi,mipango ya mechi na mechi yenyewe yamefanyika hadharani kila mtu ameona. Mpira una matokeo matatu,lakini sisi sio wa kufungwa kila siku na Yanga.
Kocha anafanya majaribio kwa Yanga,akaingia bila kuheshimu mpinzani.
Mnatuhujumu waziwazi. Mnamuacha kocha anajifanyia mambo ya kijinga kabisa. Kwa hiyo Mangungu, Try Again, Kocha, Matola wote hatuwataki.
Nimechafukwa sana leo
watimuliwehao uliwataja waondoke kwa njia ipi? wafukuzwe au wajihudhuru?
Tatizo una mdomo sana brother,tulikwambia Yanga huiwezi ukashupaza shingo.Mwenzako GENTAMYCINE aliona mbali akaikacha timu.Sina maneno mengi. Maandalizi,mipango ya mechi na mechi yenyewe yamefanyika hadharani kila mtu ameona. Mpira una matokeo matatu,lakini sisi sio wa kufungwa kila siku na Yanga.
Kocha anafanya majaribio kwa Yanga,akaingia bila kuheshimu mpinzani.
Mnatuhujumu waziwazi. Mnamuacha kocha anajifanyia mambo ya kijinga kabisa. Kwa hiyo Mangungu, Try Again, Kocha, Matola wote hatuwataki.
Nimechafukwa sana leo
Phiri yupo ?mnamuondoaje kagere kabla hujapata mbadala wake?
Phiri sio clinical finisher wa kushindana na watu kama mayele, mtu kama manzoki ndio anaweza kushindana na mayele.Phiri yupo ?
Anyway tujipange kwa mechi za msimu mpya wa mashindano.
Kwa hiyo wao Kila siku wakutuzidi mbinu sisi hatuna mbinu. Huwezi na management isiyo na mipango iyo kampuni itakuwa. Tumekuwa wateja wa Yanga Kila siku, kuna usajili wa kipumbavu umefanyika Simba huwezi ukuta Yanga.Weka kwanza copy ya kadi yako ya uanachama iliyo hai sio unabwabaja tu, wananchi walituzidi mbinu ulitaka tuingie sisi uwanjani?
Mechi ya simba na yanga inachezwa nje ya uwanja hao viongozi kutoa ela hawataki unategemea nini..............Sina maneno mengi. Maandalizi,mipango ya mechi na mechi yenyewe yamefanyika hadharani kila mtu ameona. Mpira una matokeo matatu,lakini sisi sio wa kufungwa kila siku na Yanga.
Kocha anafanya majaribio kwa Yanga,akaingia bila kuheshimu mpinzani.
Mnatuhujumu waziwazi. Mnamuacha kocha anajifanyia mambo ya kijinga kabisa. Kwa hiyo Mangungu, Try Again, Kocha, Matola wote hatuwataki.
Nimechafukwa sana leo
Sema Mayele nikojolee viwiliKwa hiyo wao Kila siku wakutuzidi mbinu sisi hatuna mbinu. Huwezi na management isiyo na mipango iyo kampuni itakuwa. Tumekuwa wateja wa Yanga Kila siku, kuna usajili wa kipumbavu umefanyika Simba huwezi ukuta Yanga.
Hakuna Cha kutoa hela pale mauzembe nje njeMechi ya simba na yanga inachezwa nje ya uwanja hao viongozi kutoa ela hawataki unategemea nini..............
hahahahaha hy ngumu mkuuwatimuliwe