Ni kweli asemacho governor. Nakumbuka Governor wa Uganda alitakiwa kusimamishwa , taarifa ilipofika kwa wananchi kesho yake Shllingi ya uganda ili shuka kwa kiwango kikubwa sana kiasi cha kwamba hakija wahi kutokea.
Kauli za ma Govenor huwa nzito na zinasababisha speculators kuzitumia halafu ku affect viwango vya ubadilishanaji fedha za kigeni