mkuu niliwahi muandalia nauli December mwaka janaaa aliishia kunambia kazi zmembanaaaa Na kunipa mifano hiyo ya marafik zako waloolewa kabla ya kupelekwa kwa wazazi.Mchezo huo umeendelea piaaa mwaka huu..Najua nauli n jukumu langu Na kwa kipato chake najua anaweza kuimudu Na wala sikupinga juu ya kumpatia yeye..Tatizo n kwa nn amekua akitia vikwazo juuu ya yeye kwenda kwetu kablaaa huku akitaka mm niende kwao wakat wa posa,mahari Na engagement kwa kisingizio wazazi wake hawana tatizo Na kunifahamu au kutonifahamu kabla ya hayo yote