devisdevis
Member
- Feb 6, 2019
- 8
- 1
nmepata D ya chem, hst, phy, math, geo, na C ya bio, civ, ksw, na eng mnanishauli niende chuo gan au four five naweza kwenda,?
ahsante kwa ushauli wako bro je chuo naweza kusomea nn kwa izo alamaKama wewe ni ke unaweza ukaenda 2nd selection advance.
Kama ni me pole sana wewe kwenda advance ni maajabu ya dunia.
ahsante kwa ushauli wako je chuo naweza nkasomea nn kutokana na izo alama nlizopata
nmeplan kusomea udaktari je nnaweza kusoma chuo cha udaktari kutokana na izo alama nlizopata
ndio inahusiana na mambo gani
Una kwenda government mwisho division 3 point 25nmepata D ya chem, hst, phy, math, geo, na C ya bio, civ, ksw, na eng mnanishauli niende chuo gan au four five naweza kwenda,?
Naenda chuo dogorasi kama nyumbani uwezo uponmepata D ya chem, hst, phy, math, geo, na C ya bio, civ, ksw, na eng mnanishauli niende chuo gan au four five naweza kwenda,?
kinausiana na mambo ganNaenda chuo dogorasi kama nyumbani uwezo upo
asante kwa ushauli wakoUna kwenda government mwisho division 3 point 25
Afya!!! Engineering, Biashara, Arts!!! Unasoma vizuri tu mdogo angu. Kwaiyo ina tegemeana na wewe mwenyewe unapenda nini hasak
kinausiana na mambo gan
ahsante bro je n chuo gan ambacho n kizuri kwa ayo mamboAfya!!! Engineering, Biashara, Arts!!! Unasoma vizuri tu mdogo angu. Kwaiyo ina tegemeana na wewe mwenyewe unapenda nini hasa
Combination hazija balance vizuri kwaiyo asitegemee sana government labda itokee tu apo ajiandae na private labda!!! Lakini kwa ufaulu wake mtoto wa kike hapo anachukuliwa vizuri tuUna kwenda government mwisho division 3 point 25
Wewe unapenda kusomea nini kati ya Science, Business na Arts.?ahsante kwa ushauli wako je chuo naweza nkasomea nn kutokana na izo alama nlizopata
B 1 Na C 3 division 3 point 24 anakwenda bila tabuCombination hazija balance vizuri kwaiyo asitegemee sana government labda itokee tu apo ajiandae na private labda!!! Lakini kwa ufaulu wake mtoto wa kike hapo anachukuliwa vizuri tu