Hiyo ni cross boarder Daladala, niliipanda toka Nairobi kwenda Mwanza nilijuta, jamaa wanapakia abiria njiani kuliko daladala za mbagala mizigo ndo usiseme.
mimi tumeshawahi kupanda wa 4 mimi dereva wawili na konda
mimi tumeshawahi kupanda wa 4 mimi dereva wawili na konda