mwanakijiji lugusi
Senior Member
- Apr 13, 2016
- 128
- 98
Habarin wadau nmechaguliwa saut mtwara na sipo multiple je naweza kuomba round ya 3 hii ni kutoka na hali yangu kiuchum na umbali mi natoka tarime mara niliomba vyuo 3 UDOM NA RUCO lkn hawajanichukua