NMB Wami Branch Morogoro jipu . . .

pierre buyoya

JF-Expert Member
Dec 6, 2015
476
163
Habari kwenu wanajamvi

Kama kuna kitu kinakera zaid katika huduma za kibenki ni swala la kupanga folen ndefu za kutoa ama kuweka pesa, Ukwel ni kwamba folen hizi haziepukiki kutokana na idadi ya wateja kuongezeka siku hadi siku . . .

Ila hii ya NMB wami Branch Morogoro mjini imekuwa zaidi ya kawaida, yani mtu unakaa foleni lisaa muda wote lazima teller mmoja au wawili wanakuwa hawapo kwenye sehemu zao na mara nyingine hata zaidi . . .

Najiuliza hawa jamaa muda wote wanakuwa wanakula au wanafanya mambo yao tu,kama wanafanya mambo yao ni utaratibu wa kazi ama laah..??

Wahusika kama mpo humu liangalieni hili . . .
 
Ma tellers kiukweli ni majipu hawadhamini wateja kabisa kiukweli nilipakimbia NMB zamani sana siwezi kuminyana na walimu foleni
 
Kwani nmb wana branch moja tu mpaka wote mjazane hapo...
Yani mtu kama yuko wilayq hii asafiri mpaka wilaya ingine kufata Huduma za kibenk mana mikoani branch ni moja per district au unadhani walimu wote wapo dar?
 
Pierre sina imani na taarifa unazozitoa kuhusu NMB wami au umeenda wami ipi? Mimi ni mteja wao na cashiers wapo muda wote. Manager yupo makini kuwasikiliza wateja na customers desk pia.
huduma naifurahia kila siku.
nasikitika umewachafulia jina NMB wami.
NMB wami keep up the good services.....naamini mpo karibu yetu.
 
Pierre, mim naona umeenda wami nyingine si ya morogoro mjini, hapa kiukweli tunaudumiwa vema sana, teller wapo vibandani all the way..na mimi binafsi nimpongeze customer managed mama yule yupo vizuri na shap sana kuhudumia mteja na mtu aliye kwama. Keep it up wami morogoro
Habari kwenu wanajamvi

Kama kuna kitu kinakera zaid katika huduma za kibenki ni swala la kupanga folen ndefu za kutoa ama kuweka pesa, Ukwel ni kwamba folen hizi haziepukiki kutokana na idadi ya wateja kuongezeka siku hadi siku . . .

Ila hii ya NMB wami Branch Morogoro mjini imekuwa zaidi ya kawaida, yani mtu unakaa foleni lisaa muda wote lazima teller mmoja au wawili wanakuwa hawapo kwenye sehemu zao na mara nyingine hata zaidi . . .

Najiuliza hawa jamaa muda wote wanakuwa wanakula au wanafanya mambo yao tu,kama wanafanya mambo yao ni utaratibu wa kazi ama laah..??

Wahusika kama mpo humu liangalieni hili . . .

kupanga folen ndefu za kutoa ama kuweka pesa, Ukwel ni kwamba folen hizi haziepukiki kutokana na idadi ya wateja kuongezeka siku hadi siku . . .

Ila hii ya NMB wami Branch Morogoro mjini imekuwa zaidi ya kawaida, yani mtu unakaa foleni lisaa muda wote lazima teller mmoja au wawili wanakuwa hawapo kwenye sehemu zao na mara nyingine hata zaidi . . .

Najiuliza hawa jamaa muda wote wanakuwa wanakula au wanafanya mambo yao tu,kama wanafanya mambo yao ni utaratibu wa kazi ama laah..??

Wahusika kama mpo humu liangalieni hili . . .[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom