Leo nimemtumia ndugu yangu pesa kwenye akaunti yake. NMB wamenitoza alfu lakini hawakunipatia risiti. Je, TRA wamewaruhusu kutuibia? Mwisho wa siku NMB watajitangazia faida kutokana na Alfu zetu.
ukitaka kuwaweza, akiuliza hii akaunti ya nani unawaambia ya kwangu,maana hana mamlaka ya kuuliza id,hapo wanakua hawana ujanja.haingii akilini eti ukiweka pesa akaunti ya mtu mwingine watoze elfu!na pia huwezi lazimisha mtu aweke pesa kwenye tawi lake pekee! TRA ya tz ipo usingizini long room
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.