NMB northern zone wamejibu

NMB northern zone wamejibu

Member Since:
Sep 13, 2016

Messages:9

Likes Received:0

Trophy Points:3

Liked: 0


Siyo source ya kuamika.
 
Kama sio ya kuaminika MBNA tumepokea email sisi usipende kupinga vitu wakati ushahidi tunao na wengine wamepokea email
 
Sinaga muda Wa kubishana
IMG_20160922_114657_698.JPG
 
Nimepata E-Mail Pia- ila kusema ukweli mm naomba Rais Magu aangalia hizi benk maana haiwezekani kupata nafasi kama huna mtu uko,, kazi za benk zote ni undugulasationi mtupu, wanasahau kwamba ndugu zetu walioko sehemu nyingine kwenye secta nyingine ndo wanaodepost hela kwenye benki wanayopeana nafac tu,,,,why ,,,undugulasation jamani,,, na ukija kuangalia hata ww mwenywewe mteja wao,, mm namuomba Magu afanye ukaguzi wa mnyororo huo na ikibainisha kwamba ndivo ilivyo basi watu waachishwe kazi wachanganywe maana kukaa na ndugu sehemu kama zile mfano kama nyote familia mpo benki hata uwezekano wa wizi ni rahisi mno na uchumi unadumaa maana hakuna mzunguko wa hela pengine.
 
Nimepata E-Mail Pia- ila kusema ukweli mm naomba Rais Magu aangalia hizi benk maana haiwezekani kupata nafasi kama huna mtu uko,, kazi za benk zote ni undugulasationi mtupu, wanasahau kwamba ndugu zetu walioko sehemu nyingine kwenye secta nyingine ndo wanaodepost hela kwenye benki wanayopeana nafac tu,,,,why ,,,undugulasation jamani,,, na ukija kuangalia hata ww mwenywewe mteja wao,, mm namuomba Magu afanye ukaguzi wa mnyororo huo na ikibainisha kwamba ndivo ilivyo basi watu waachishwe kazi wachanganywe maana kukaa na ndugu sehemu kama zile mfano kama nyote familia mpo benki hata uwezekano wa wizi ni rahisi mno na uchumi unadumaa maana hakuna mzunguko wa hela pengine.

apole sana
 
kuna askofu arusha wa kanisa la Agape aliitumia fursa yakutokuwepo na ajira vizuri baada yakwenda redio safina nakutangaza kandarasi yakujenga makanisa, shule,zahanati na visima vya maji tz nzima! Akataka wasimamizi kuanzia std 7 mpka phd yakusimamia kazi za ujenzi na usimamizi wa fedha ila kila mtahiniwa alipaswa kutoa 15,000 au 10,000 na walipata raia zaid ya 4,500 .waliahid mradi ungeanza mwez wa 7 au 8,Chakushangaza ni kwamba wao wenyewe wanasali kwenye mbavu za mbwa! Jaman tuwe makini na hawa watu nyakati za mwisho watatokea watu wakila aina wakitumia jina la Mungu kwa manufaa yao binafsi.
 
Mimi nimepigiwa Simu kwa niende kwenye interview.
Nauliza in case nmb wanarecruit kupitia ile tovuti yao, hv naweza kutuma maombi thru posta instead of kwny ile sehemu yao ya maombi...??
 
Nauliza in case nmb wanarecruit kupitia ile tovuti yao, hv naweza kutuma maombi thru posta instead of kwny ile sehemu yao ya maombi...??
Ni lazima utume kwa mtandao pale wanapotangaza kazi maana ndio njia waliyoianzisha,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom