NMB makato

NMB makato

Adabwash

Senior Member
Joined
Feb 11, 2019
Posts
143
Reaction score
284
Wandugu Naomba kujuzwa kama kuna Makato yoyote ukienda kutoa fedha Dirishani NMB Bank?

Ndugu yangu kanambia kuna Makato ya kutoa pesa NMB,nimemtumia ndugu yangu milioni nyingi Tu sasa ndo kanipa habari kuwa kuna Makato,nauliza kwenu kuwa je kuna kitu kama hiki?

Sababu ya kuuliza nikuwa Mimi naishi Mbali na Tanzania.
 
Amekuambia makato ni bei gani.. Tuanzie hapo? Je umemuwekea nauli ya kwenda bank mkuu? Kama umetuma net lazima ajiongeze. Undugu Hauwezi kufa kwa laki moja. Tuma tu mkuu.
Cc NMB Tanzania
 
Wandugu Naomba kujuzwa kama je kuna Makato yoyote ukienda kutoa fedha Dirishani NMB bank?

Ndugu yangu kanambia kuna Makato ya kutoa pesa NMB,nimemtumia ndugu yangu milioni nyingi Tu sasa ndo kanipa habari kuwa kuna Makato,nauliza kwenu kuwa je kuna kitu kama hiki?

Sababu ya kuuliza nikuwa Mimi Naishi Mbali na Tanzania,
Huyo kakudanganya.
NMB haina makato kwenye kutoa hela ila unapotoa hela unawaachia hela kidogo tu ya kununulia sanitaiza. 😀 😀
 
Wandugu Naomba kujuzwa kama je kuna Makato yoyote ukienda kutoa fedha Dirishani NMB bank?

Ndugu yangu kanambia kuna Makato ya kutoa pesa NMB,nimemtumia ndugu yangu milioni nyingi Tu sasa ndo kanipa habari kuwa kuna Makato,nauliza kwenu kuwa je kuna kitu kama hiki?

Sababu ya kuuliza nikuwa Mimi Naishi Mbali na Tanzania,
Sio NMB tu, ni bank zote. Ukichukua ndani wanakata fee kubwa zaidi kuliko kwenye ATM
 
Amekuambia makato ni bei gani.. Tuanzie hapo? Je umemuwekea nauli ya kwenda bank mkuu? Kama umetuma net lazima ajiongeze. Undugu Hauwezi kufa kwa laki moja. Tuma tu mkuu.
Cc NMB Tanzania
Hajanambia Makato ni Kiasi gani sababu nayeye anasema hajui,Ila kipindi naondoka nyumbani hakukuwa na Makato ukitoa bank na wala ukitoa kwenye ATM hakukuwa na Makato,nilishwahi kumtumia huko nyuma kama milioni nane mara mbili hakunambia kuhusu Makato,

Leo nimemtumia milioni 70,ndo kanipa habari ya Makato, kuhusu ya kujikimu nampatia Tu bila ya Shida,
 
Ndugu yangu hakunaga huduma ya bureee haipo.kila unapo fanya muamara wowote wa kibenk kunamakato hata hao watu wa bank wakikwambia huduma hii ni bure ni waongo tu.hata hivyo nikushauri usipende vitu vya bure havifai kabisa.
Wandugu Naomba kujuzwa kama je kuna Makato yoyote ukienda kutoa fedha Dirishani NMB bank?

Ndugu yangu kanambia kuna Makato ya kutoa pesa NMB,nimemtumia ndugu yangu milioni nyingi Tu sasa ndo kanipa habari kuwa kuna Makato,nauliza kwenu kuwa je kuna kitu kama hiki?

Sababu ya kuuliza nikuwa Mimi Naishi Mbali na Tanzania,
 
Jamaa yangu ni mwalimu ana deni nmb 3566000 je akilipa yote cash hiyo amount itapungua kwa kiasi gani halafu mshahara wake ni tgts f kwasasa anapokea 660000 kwasababu anamakato kwingine Sasa akienda kukopa anapatakiasi gani?
 
Back
Top Bottom