Ulika
Member
- May 1, 2013
- 13
- 3
Najiuliza sana ila sipati jibu la hii serikali ina mpango gani na raia. Leo imekataza semina, kushusha madaraja na kustopisha mpaka ukaguzi hewa kwa wafanyakazi hewa upite hususani kwa waalimu na wafanyakazi wa serikali.
Nimekaa nikawaza nikaona sio kesi ngoja nifanye biashara nijiongezee kipato, si nikagonga hodi benki ya NMB ile naonana tu na afisa mikopo ananambia mikopo imesitishwa.
Nikamuuliza kwa mshangao, "kwanini"? Naye akaniuliza, "kwani ulishawahi kukopa?" Nikamjibu bado ndo first time akasema basi subiri mpaka Januari. Nikasepa bila kuagana, naona kama program yangu imefeli.
Nimekaa nikawaza nikaona sio kesi ngoja nifanye biashara nijiongezee kipato, si nikagonga hodi benki ya NMB ile naonana tu na afisa mikopo ananambia mikopo imesitishwa.
Nikamuuliza kwa mshangao, "kwanini"? Naye akaniuliza, "kwani ulishawahi kukopa?" Nikamjibu bado ndo first time akasema basi subiri mpaka Januari. Nikasepa bila kuagana, naona kama program yangu imefeli.