Leo ilikuwa kali ya mwaka kwa wale waliofika Benki ya NMB Kiteto asubuhi..kwani baada ya kuingia tu walikutana na keki mlangoni, kisha kuombwa kuikata kwaajili ya kusherehekea miaka 10 toka kubinafsishwa
jee wajua yaliyojiri....fuana nami kwa picha na leo watakuwa wapi katika sherehe hizo..