GE2025 NLD yarejesha fomu ya kuisaka Ikulu Zanzibar

GE2025 NLD yarejesha fomu ya kuisaka Ikulu Zanzibar

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Mtiania urais wa Zanzibar kupitia Chama cha National League for Democracy (NLD) Mfaume Khamis Hassan akikabidhi fomu za kuomba uteuzi kwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jaji George Joseph Kazi ofisi za tume hiyo, Maisara Unguja Zanzibar leo Septemba 10, 2025. Picha na Jesse Mikofu
IMG_6138.jpeg
 
Back
Top Bottom