Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,430
Ndoto namba1
Mimi, mama, kaka na Dada yangu tunashuka mlima huku tukifakari na kujionea uharibifu wa mazingira mlima Loleza Mbeya.
Ndoto namba 2
Ni Kama inaonyeshwa Kwenye TV lakini ikawa namuona physically huyo mama analia mtoto wake amekufa baada ya Bomba LA Maji kupasuka, mafundi wa dawasa wakapita Kama hamna kibaya kilichotokea.
Ndoto ya tatu
Nimeota mama kaniita, nilipoingia chumbani kwake nikakuta anavaa, kajifunika kitenge akaniambia nimngoje nje. Tukawa tunaongea Habari za wanyapori, akasema maafisa wanyama pori wanalipwa bure hela nyingi ukilinganisha na elimu waliyonayo. Akamtaja rafiki yangu ambaye ni meneja wa pori.
Kwa hasira nikang'aka rafiki yangu kasoma kuliko mdogo wako (mjomba) , lazima kozi ngumu SUA, tena ana masters. Mjomba Ana masters ya HR Canada na Ana masters nyingine ya Business Administration ya UDSM.
Nikatoka hapo Kwenye ubishani nikaenda sehemu Ina kijito kizuri na mbaya mazuri pembeni. Nikakutana na rafiki yangu afisa wanyama pori, nikamuuliza Hivi ulifanya masters? Akajibu hapana. Basi tukaenda nae nyumbani, tulipofika nyumbani akawa Kama amepagawa akaanza kuongezeka umbo UKAWA mrefu Sana na mpana Sana kuliko binadamu wa kawaida akashuka ghorofani kwa kishindo kikuu.
Akaingia mtaa ni watu wote wanamshangaa, wakaja kwetu ili kujua kilichotokea watu wangu Sana. Nikamfuata kwake UKAWA hataki hata kuniona.
Ndoto ya NNE
Nimeota garaje sehemu ya kulaza Gari, Bomba limepasuka Maji Mengi Sana yakawa yanatoka yanapanda ghorofani.
Nikaota tena Niko ghorofani mvua inaninyeshea na mkononi Nina box LA majani ya chai nafight ili yasiharibike.
Mimi, mama, kaka na Dada yangu tunashuka mlima huku tukifakari na kujionea uharibifu wa mazingira mlima Loleza Mbeya.
Ndoto namba 2
Ni Kama inaonyeshwa Kwenye TV lakini ikawa namuona physically huyo mama analia mtoto wake amekufa baada ya Bomba LA Maji kupasuka, mafundi wa dawasa wakapita Kama hamna kibaya kilichotokea.
Ndoto ya tatu
Nimeota mama kaniita, nilipoingia chumbani kwake nikakuta anavaa, kajifunika kitenge akaniambia nimngoje nje. Tukawa tunaongea Habari za wanyapori, akasema maafisa wanyama pori wanalipwa bure hela nyingi ukilinganisha na elimu waliyonayo. Akamtaja rafiki yangu ambaye ni meneja wa pori.
Kwa hasira nikang'aka rafiki yangu kasoma kuliko mdogo wako (mjomba) , lazima kozi ngumu SUA, tena ana masters. Mjomba Ana masters ya HR Canada na Ana masters nyingine ya Business Administration ya UDSM.
Nikatoka hapo Kwenye ubishani nikaenda sehemu Ina kijito kizuri na mbaya mazuri pembeni. Nikakutana na rafiki yangu afisa wanyama pori, nikamuuliza Hivi ulifanya masters? Akajibu hapana. Basi tukaenda nae nyumbani, tulipofika nyumbani akawa Kama amepagawa akaanza kuongezeka umbo UKAWA mrefu Sana na mpana Sana kuliko binadamu wa kawaida akashuka ghorofani kwa kishindo kikuu.
Akaingia mtaa ni watu wote wanamshangaa, wakaja kwetu ili kujua kilichotokea watu wangu Sana. Nikamfuata kwake UKAWA hataki hata kuniona.
Ndoto ya NNE
Nimeota garaje sehemu ya kulaza Gari, Bomba limepasuka Maji Mengi Sana yakawa yanatoka yanapanda ghorofani.
Nikaota tena Niko ghorofani mvua inaninyeshea na mkononi Nina box LA majani ya chai nafight ili yasiharibike.