Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 55,027
Sawa nimeshindwa kutengeneza hoja naomba kujua lengo lako sasa nyie ambao ni Pacha ni nini?Reading is fundamental! Soma tna nlichoandka. Afu njo utengeneze hoja
Sawa nimeshindwa kutengeneza hoja naomba kujua lengo lako sasa nyie ambao ni Pacha ni nini?Reading is fundamental! Soma tna nlichoandka. Afu njo utengeneze hoja
Mbona thread ilishaweka records clear b4 hata cjasema lengo la thread??Sawa nimeshindwa kutengeneza hoja naomba kujua lengo lako sasa nyie ambao ni Pacha ni nini?
Unawaza ngono tu, na hili ndilo nilitaka useme.Mbona thread ilishaweka records clear b4 hata cjasema lengo la thread??
Ok! Ngoja nijitie udhaifu ili nkurdhshe; natak kioa couple iwe inahusisha atleast one party ambayo ina genetic code ya mapacha ili tuongeze idad ya uzao wa pacha Tz.
Hii inatokan na msing wa iman yng, kwmba couple hii itakayotngenezw hapa italeta twins.
Unawaza ngono tu, na hili ndilo nilitaka useme.
Kila la kheri.

😂😂😂😂 We jamaa akili zako unazijuwa mwenyewe!!Mpe mkeo/Mpenzi wako mimba baada ya kushika mimba subiri ndani ya miezi miwili tena mpe mimba nyingine kwahiyo ukijumlisha na ile anakuwa nazo mbili. Hapo unakuwa umepata mapacha safi.
Na kw taarfa yko: tajir mweny mapach nnaemjua mm ni Reginald Mengi...hao wengne hawako kwny rekod yng. Namaanish iv: cc maskin ndo hua tunajaaliwa uzao huokuzaa mapacha bila hela ni upuuzi
Uli-gugo kuhusu nnNimejaribu ku google nikajibiwa mimi sina akili..
