mwanaNjilo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 277
- 195
Wazima humu??
Mi cyo mtaalam wa uzaz. Lakn nshawah kuskia kwmba...kuna uwezekano mkubw wa kupata watoto mapacha km mmoja au wote kati ya two parties zilizoshirik kutungisha mimba atakua/watakua wametoka kwny familia zenye uzao wa mapacha!
Km hii ni kwel, bhasi naomba wale wote ambao wana uzao huu (km mlizaliwa mapacha) tukutane hapa ili tuendeleze uzao huu maridhawakwny nch yetu ya Tanzania!
Wassalaam!
Mi cyo mtaalam wa uzaz. Lakn nshawah kuskia kwmba...kuna uwezekano mkubw wa kupata watoto mapacha km mmoja au wote kati ya two parties zilizoshirik kutungisha mimba atakua/watakua wametoka kwny familia zenye uzao wa mapacha!
Km hii ni kwel, bhasi naomba wale wote ambao wana uzao huu (km mlizaliwa mapacha) tukutane hapa ili tuendeleze uzao huu maridhawakwny nch yetu ya Tanzania!
Wassalaam!