Njooni tujadiliane....!

PetCash

JF-Expert Member
Mar 20, 2012
1,997
1,999
Kwa kweli humu ndani kuna watu wanatoa ushauri! yani unapata wenye busara, unaokupa solution, unaokufurahisha. kukuongezea siku na kuyaona maisha kivingine kabisa n.k n.k-yet for free(unalipia gharama ya intenet tu)....
Lakini? Hebu tujitazame wenyewe(mi nimejianalyse nikaona mimi niko selfish kwa hiyo naandaa mpango wa kujirekebisha). Hivi mtu ana likes received 99,999 halafu ukiangalia likes give 3!
Hivi wewe katika comments na post walizofanya wenzio wewe umeona 3 tu ndo nzuri?
(Sasa si ndo yale yale kwenye mahusiano mtu hata umfanyie kipi, ni mgumu wa ku-appreciate!) Na hii ndio inasababisha watu kuhamahama kwenye mahusiano na mwisho wa siku wanasema wanaume/wanawake wote wabaya!(wanasahau kwamba ukivaa miwani ya green kila kitu kinakaa ki-green green )
....Ntarudi baadaye jiangalie na ukiri zambi zako hapo hapo chini ili usaidiwe kabla hujaondoka ukajifanya kusahau !
 
Wengine muda mwingi tunatumia Simu, na for some reasons better known to Invisible hakuna option ya Like kwenye via mobile!

I aggree it is selfish of some of us, kupenda kuwa appreciated kuliko kuappreciate others; kama vile tunavyolilia kupendwa kuliko kupenda sisi!

We should see giving as the reason for relationship zaidi!
 
Wengine muda mwingi tunatumia Simu, na for some reasons better known to Invisible hakuna option ya Like kwenye via mobile!

I aggree it is selfish of some of us, kupenda kuwa appreciated kuliko kuappreciate others; kama vile tunavyolilia kupendwa kuliko kupenda sisi!

We should see giving as the reason for relationship zaidi!
May be if u direct this statement to yr fellow women!
To men it doesn't work Noway!
 
Wengine muda mwingi tunatumia Simu, na for some reasons better known to Invisible hakuna option ya Like kwenye via mobile!

I aggree it is selfish of some of us, kupenda kuwa appreciated kuliko kuappreciate others; kama vile tunavyolilia kupendwa kuliko kupenda sisi!

We should see giving as the reason for relationship zaidi!

Point to note, u got away with it today...(blessings) go and sin no more!
 
Word! Bt in case of likes kwa wengine co ubinafsi 2na2mia simu! Bt 4m your words nimejifunza kutoa ni vizuri kuliko kupokea..
 
May be if u direct this statement to yr fellow women!
To men it doesn't work Noway!

Then let's be happy with full usanii n full kutegeana kind of relationship!

But l believe, when you give it's more likely to receive even more than you have given urself!
 
Kwa kweli humu ndani kuna watu wanatoa ushauri! yani unapata wenye busara, unaokupa solution, unaokufurahisha. kukuongezea siku na kuyaona maisha kivingine kabisa n.k n.k-yet for free(unalipia gharama ya intenet tu)....
Lakini? Hebu tujitazame wenyewe(mi nimejianalyse nikaona mimi niko selfish kwa hiyo naandaa mpango wa kujirekebisha). Hivi mtu ana likes received 99,999 halafu ukiangalia likes give 3!
Hivi wewe katika comments na post walizofanya wenzio wewe umeona 3 tu ndo nzuri?
(Sasa si ndo yale yale kwenye mahusiano mtu hata umfanyie kipi, ni mgumu wa ku-appreciate!) Na hii ndio inasababisha watu kuhamahama kwenye mahusiano na mwisho wa siku wanasema wanaume/wanawake wote wabaya!(wanasahau kwamba ukivaa miwani ya green kila kitu kinakaa ki-green green )
....Ntarudi baadaye jiangalie na ukiri zambi zako hapo hapo chini ili usaidiwe kabla hujaondoka ukajifanya kusahau !

Umegusa wengi, ngoja nikugongee like ikupunguzie hasira!!:frusty:
 
Back
Top Bottom