Njoo ujifunze maujanja ya technologia!

Natamani sana nijiunge na hill darasa lako lakini labda unishawishi kwa kuweka hapa angalau somo moja bure, tujue uwezo wako kwanza" isijekuwa kime0.
Hii ni forum, huku watu wanatiririka tu.
 
Basic skill hamna kipya hapo........ Kuunganisha cpu na tv c ga au hdmi cable tu kazi inaku imeisha...... Ku download movie kuna torrents sites kama Extratorrent na torrentx etc....... Movie quality zpo kwanzia CAMS had 1080p.....Mkuu huna jipya jopange na vitu vingine vya maana
 
Sawa mkuu ntajipanga
 
Na nilivyofungua haraka hii thread, nimekuja nduki nikidhani kuna terial la kutosha, kumbe mtu anatangaza biashara. Lipia kwanza tangazo ndo tujiunge na hicho chuo chako cha online.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…