Kuishi kwingi kuona mengi!
Jana mama watoto aliniacha kwa dk 30 dukani kwake baadaya kujisikia vibaya!
Wakati namsubiri dada aje aendelee na kazi pale dukani!
Aliingia dada wa makamo kama miaka 40 au mid 30s' Akanunua gauni afu akaniuliza kama kuna chupi nikwamwonosha akachukua size yake !Akaniuliza kuna sidiria nikamuonesha akaomba akajaribu ,nikamwonesha chumba ....akiwa huko nikasikia akiniita eti nikaangalie kama imekaa vizuri au la!
Jamani kazi gani hii! Nilipigwa na butwaa !Lakini nikaone pengine ni mliberali mambo leo hajali nikaingia ,nikwamwambia vizuri !Akageuka nyuma kunionyesha mgogo eti niivute !nikauvuta akasema ahsante .
Akavaa blauzi yake akalipa na kuondoka !
Mh biashara ngumu sana!
kwani umeambiwa hili ni jukwaa la watu wazima?.
kama una internet muage Mandela hapa
Live stream: Funeral service for Nelson Mandela - World - NZ Herald News
sawa kaka ila na wewe unaposoma kitu kuwa makini basi usipotoshwe wala kupotosha!Dogo hebu weka picha...halafu kesho mama akikuacha kwenye kazi za wakubwa mwambie unaona aibu eeh...sawa?
Ahsante ....kwa kunielewa ulivyoelewaUlifikiri anakutaka? Au ulifikiri atakuomba diskaunti na namba ya simu? Sipati picha alivyolipa na kuondoka bila kukwambia lolote zaidi...pole
Cha ajabu kuna mijitu itakuja kudai picha hapa!
Well said ....brotherWewe uliyeleta hii mada sidhani kama umeoa, namna unavyoandika ni kama teenager fulani tu hivi
Kwani wewe ni nusu mtu? au unavyoandika haya upo kwenye friji za mochwari?
hahahah! :loco:
you didint say that