Usidanganye tena maan sik nyingine ntakuchapa sawa totoo😕,Halafu ujifunze kudanganya maana alipo Rais kama EL jua jeshi la Red liko karib, hapo nimekuona sijui ni ww ndo umeweka ulinzi hapo na blauzi yako nyekundu:what:
Da Hii picha imenikumbusha mbili nimejiona ban a ilikuwa ni mkutano wa mtia Nia wa udiwani mwezi wa 5 nilishika Hilo bango pichani du siasa propaganda.