monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,490
- 13,020
Noma sana!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Wake up bro!!Mbona kuna Bellinda and Bill Gates Foundation yake hapa Tanzania imemwanga billions and billions of money kwa ajili ya ukimwi na malaria. Na kwenye chanjo mbalimbali.
Sadia uende zako yeye mwenyewe sidhani kama walio msaidia amewalipa, hakuna faida ya kumwaga chakula jalalani wakati kuna watu wanakufa njaaWatu wengi tunaowasaidia hawana shukrani mwisho wa siku wanakuliza.
Maisha yetu ndio yanatifanya tuwe hivyo Ila uhalisia Kila mtu apambane na Hali yake.
Roho mbaya ndio chanzo cha kuugua magonjwa ya ajabu ajabuMi namwelewa sana jamaa!!
Uchungu usioisha moyoni kutokana na hustle za maisha!!
Lakini kama anawajali wazazi wake kwa kidogo sio mbaya!!
Japo hapo alipo anaumwa hafurahii maisha kabisa no mgonjwa jamaa anahitaji msaada!!
Watu weusi pia ukiwasaidia huwa hawana shukrani!watakuumuza one day!!
Am very much awake🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Wake up bro!!
Shikamoo Njitap."Ndio, Sihitaji Watu wanisumbue tena, Mimi sio Msamaria Mwema Kama Samuel Eto'o, Kwani yule Ni Eto'o na Mimi Ni Njitap!
Sikuteseka kutafuta pesa kwa Miaka Mingi ili kuja kuiokoa Dunia Nzima. Hata Familia Yangu yenyewe tu Kuna Muda huwa inalalamika kuhusu Mimi lakini Mi Sijali, Ni Mungu Pekee atakayenihukumu na Sio Binadamu unayempa kitu, uliyempa kitu au ambaye hukumpa kitu.
Siku zote nimekuwa nikimwambia Eto'o Kwamba Kuna siku Watakucheka kwa Dhihaka, Na Biblia ilishatabiri Hayo yote, Mimi Jeremy Njitap nimebaki vile vile, Pesa Yangu Ni Yangu, Na Kama nisingecheza Mpira Nani angekuwa Tayari kunisaidia? Sinunui Huruma Mimi.
Huwezi kunisikia Nachangisha Michango kwa Mtu yeyote, Halafu Wengi Wanaamini pengine Mimi siishi Kabisa Cameroon Sababu Muda Karibu Wote napendelea kukaa Nyumbani na Geti langu Muda Wote likiwa limefungwa, Hata huyo Mlinzi wangu mwenyewe Hana sahani ya Chakula Nyumbani kwangu Maana Mshahara wake Unamtosha kula kwake". - Jeremy Njitap!
#Note: Njitap Ni Mchezaji wa Zamani wa Timu ya Taifa ya Cameroon, Chelsea na Real Madrid.
View attachment 2943704
Waafrika kwa kuomba omba tumekubuhu.Hii Sasa ndiyo roho halisi ya kiafrika.
"ThridiKlozdi"Utofauti wetu ndio ukamilifu wa ulimwengu
Ukishavuta unaropoka sana wewe jamaaMnawaza kufa kufa tu.
Bangi mbayaUkishavuta unaropoka sana wewe jamaa
Hua inakera sana , Tena mtu anakulazimishia majukumuAlichoongea ni sahihi.
Waafrika tuna tatizo moja la kuona mwenzetu kafanikiwa sisi twataka tumtweke taabu, shida na matatizo yetu yote
Nibwanafki na wauajiYupo sahihi kabisa,binadamu ni wanafiki sana
Wazazi pekee wanastahili kula matunda ygMi namwelewa sana jamaa!!
Uchungu usioisha moyoni kutokana na hustle za maisha!!
Lakini kama anawajali wazazi wake kwa kidogo sio mbaya!!
Japo hapo alipo anaumwa hafurahii maisha kabisa no mgonjwa jamaa anahitaji msaada!!
Watu weusi pia ukiwasaidia huwa hawana shukrani!watakuumuza one day!!
Kuchapiwa ni Siri ya ndaniKauzu alie kua anachapiwa na akaletewa watoto sio wake awaleee ...dunia hii
Ni msimamo wke aheshimiweUkiona mtu anaongelea kumnyima mtu chakula ni mpumbavu tu,hata alipofika ni kwa bahati mbaya tu.
Kabisaa aiseeiyo platform sio bure wanafanya baada ya kuona kitu ndani yako na ndo maana wanaweka vipengere vya kimkataba kwamba ukifanikiwa wao wananufaika nn
nawe jitihada zako zinahitajika pia, sio lelema mama usubiri kubebwa mkuu
Itoshe tu kusema kwamba mwamba mwenyewe Njitap katukana sana hapa, yani karap sana. I'm out but nimesikitika sana"Ndio, Sihitaji Watu wanisumbue tena, Mimi sio Msamaria Mwema Kama Samuel Eto'o, Kwani yule Ni Eto'o na Mimi Ni Njitap!
Sikuteseka kutafuta pesa kwa Miaka Mingi ili kuja kuiokoa Dunia Nzima. Hata Familia Yangu yenyewe tu Kuna Muda huwa inalalamika kuhusu Mimi lakini Mi Sijali, Ni Mungu Pekee atakayenihukumu na Sio Binadamu unayempa kitu, uliyempa kitu au ambaye hukumpa kitu.
Siku zote nimekuwa nikimwambia Eto'o Kwamba Kuna siku Watakucheka kwa Dhihaka, Na Biblia ilishatabiri Hayo yote, Mimi Jeremy Njitap nimebaki vile vile, Pesa Yangu Ni Yangu, Na Kama nisingecheza Mpira Nani angekuwa Tayari kunisaidia? Sinunui Huruma Mimi.
Huwezi kunisikia Nachangisha Michango kwa Mtu yeyote, Halafu Wengi Wanaamini pengine Mimi siishi Kabisa Cameroon Sababu Muda Karibu Wote napendelea kukaa Nyumbani na Geti langu Muda Wote likiwa limefungwa, Hata huyo Mlinzi wangu mwenyewe Hana sahani ya Chakula Nyumbani kwangu Maana Mshahara wake Unamtosha kula kwake". - Jeremy Njitap!
#Note: Njitap Ni Mchezaji wa Zamani wa Timu ya Taifa ya Cameroon, Chelsea na Real Madrid.
View attachment 2943704